Kuna dogo kamaliza form four mwaka jana na amepata 4 ya 26 na ana C tatu sema hizo C tatu kombi haijabalance na anataka kujua kozi gani anayoweza akasoma kuanzia certificate na Diploma
Toka msimu uliyopita board ya ligi iliidhinisha mechi zote za nyumbani za Azam FC zinachezwa kwenye uwanja wao unless Azam wenyewe watake kucheza nje ya uwanja wao na ndio maana mechi zao za nyumbani za Simba na Yanga wamechezea kwenye uwanja wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.