Msaada tutani

Msaada tutani

bornjr9424

Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
7
Reaction score
0
Kuna dogo kamaliza form four mwaka jana na amepata 4 ya 26 na ana C tatu sema hizo C tatu kombi haijabalance na anataka kujua kozi gani anayoweza akasoma kuanzia certificate na Diploma
 
Weka grade alizopata za hayo masomo yale alafu tukushauri
 
Kuna dogo kamaliza form four mwaka jana na amepata 4 ya 26 na ana C tatu sema hizo C tatu kombi haijabalance na anataka kujua kozi gani anayoweza akasoma kuanzia certificate na Diploma
Dogo au wewe!!!
 
Back
Top Bottom