Recent content by Born_T0WN

  1. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Ajira za ICT (Practicals)

    Kuna jambo linanisumbua kichwa siku nyingi naomba niwashirikishe wadau wenzangu.. Mchakato wa Ajira za Utumishi kwa hivi karibuni umerahisishwa upande wa Written interviews kwa maana ya Kwamba wasailiwa hawana ulazima wa kusafiri kwenda Dar es Salaam kufanya mtihani wa mchujo, badala yake...
  2. Born_T0WN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna design wife kama anafanya mambo ya hovyo hivi au na wake zenu pia wapo hivo

    pole sana, naona watoto wa elfu mbili wameanza kuingia kwenye ndoa sasa, wanaumiza sana vichwa. Jitahidi usimshirikishe sana kwenye bajeti zako na asijue kipato chako. jifanye hauna pesa kabisa
  3. Born_T0WN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke ana tatizo gani?

    Nasoma Replies za Experts
  4. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Assistant Investigators III (100 Posts) at PCCB / TAKUKURU February, 2024

    baada ya kukamilisha kujaza kila kitu button ya ku SUBMIT haifanyi kazi
  5. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Matapeli ajira za TAKUKURU

    submit button is not working
  6. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Asante,
  7. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wa haraka, kuna kitu kimeingia jichoni

    Jaza maji kwenye ndoo, Kisha angalia ndani ya maji kwa jicho lenye shida, Chungulia ndani ya maji kwa dakika kama 5 hivi, utakuja kunishukuru
  8. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Pole, nadhani ukishatuma hakuna kurudi nyuma.. labda ujaribu kutuma tena uwe na double application
  9. Born_T0WN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndugu zangu hii siyo love bite kweli?

    yenyewe hiyo mzee, mali yako imeliwa
  10. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    picha tunaweka sehemu gani wakuu?
  11. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    baada ya kujaza taarifa zako zote fungua sehemu ya Search Jobs, ukiexpand kwenye post uliyoomba utaona sehemu ya ku_attach certificates, CV na Cover Letter na hatimaye kutuma maombi
  12. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Karibuni tupeane Updates kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa TRA, tusaidiane jinsi ya kujaza form na kukamilisha maombi kwa pamoja. Wasilisha hapa changamoto unayokutana nayo katika kufanya maombi yako, kisha wadau watakuja hapa kutoa msaada. karibuni sana
  13. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Mke wa Baba Levo aomba msamaha na kumtaka warudiane, marafiki walimdanganya

    Aje na marafiki zake, waeleze walimdanganya vp hadi akaamini.
  14. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Wadau
Back
Top Bottom