Recent content by Born2Help

  1. Born2Help

    Deus Mallya Ajiunga na ACT Wazalendo

    https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/59866-hatimaye-kikwete-amsamehe-deus-mallya.html
  2. Born2Help

    Afande Sele, Urafiki wetu na wewe hauko kwenye sanduku la kura

    Dah! hii shida sasa, kwani lazima wote tuwe wabunge jamani, ah! we Seleman Msindi jipime bwana baki na Usanii katika Tasnia ya Mziki ndiko unakotosha.......suala la ubunge/ udiwani sikushauri whether ungekuwa CCM, CHADEMA AU ACT hapana.:embarrassed1::shocked::tinfoil3:
  3. Born2Help

    Mwigamba: Nakuhurumia Zitto Kabwe

    Dah!!! kichwa kinaniuma Mwigamba + Zito = Prof. Kitila Mkumbo. wasaliti ni hatari sana hongera Chadema mko makini sana
  4. Born2Help

    Kuwa Rais, anafaa?

    Hafai jamani ila kama tukikosa mwenye sifa za kutuongoza basi hatuna jinsi, mungu atuongoze atuvushe katika kipindi hiki kigumu na cha mpito tusije fanya kosa tukachagua mtu asiye sahihi. ni hayo :frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown:
  5. Born2Help

    KKKT : Maaskofu hatujagawanyika kuhusu Katiba

    Na wote tuseme Amen na Hapana kwa Katiba Pendekezwa - Hongera kwa Maaskofu waliliona hili.
  6. Born2Help

    Mapungufu makubwa ya Serikali ya awamu ya nne

    Twiga kutoroka mbugani na kwenda kupanda ndege kutorokea ughaibuni bila vyombo vya ulinzi na usalama kujua
  7. Born2Help

    Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

    Tumeamini mgambo 2 mkia 0000
  8. Born2Help

    Watu wanahisi mimi ni usalama wa taifa, naombeni ushauri

    Tueleze aina ya maisha unayoishi mpaka watu wakufikirie hivyo then tutakushauri, na hizo tabia za Usalama wa Taifa otherwise utakuwa unajistukia tu
  9. Born2Help

    USAHIHI wa alichokisema NAPE leo katika Uwanja wa Mazingira Bora - Karatu

    Duh! kweli maji yakishamwagika hayazoleki, mana msemaji naye ana msemaji? kweli Tanzania kila kitu kinawezekana.
  10. Born2Help

    Nape Nnauye Ashambulia Waandishi wa Habari.

    Yawezekana haya ya kuwapangia waandishi wa habari nini waandike, yapo katika katiba pendekezwa.............ila Nape Dah....!!!! tatizo upeooooooooooooo tumsamehe.
  11. Born2Help

    USAHIHI : Hakuna Kiongozi wa CHADEMA aliyehamia CCM Ngorongoro!

    Tutashuhudia mengi kuelekea Oktoba, ngoja mi nijiandae kupokea mabadiliko....
  12. Born2Help

    Aibu hii TFF hamuwezi kuikwepa

    Mungu ni mwema, TFF mlitafakari hili kwa kina leo yeye kesho nyie.....malipo ni hapahapa Duniani
  13. Born2Help

    Yaliyojiri Yanga Vs FC Platinum

    kila la heri yanga
Back
Top Bottom