Athari zipo tena nyingi sana kwani dini moja tu ndiyo sheria zake zitatambuliwa kikatiba wakati dini/imani zipo nyingi na wanasheria zao na wanahukumiana bila kuihusisha serikali.Kwa nini mnataka msaada wa serikali (katiba) kuhukumiana!? kuna nini!?
Baadhi ya makamanda wamegundua dili ,wanachukua mshiko wa mafisadi anajitangaza kuhamia ccm Kisha wanahamisha makazi yao na kuvua gamba na kuvaa gwanda kimya kimya.
katika viongozi wa dini wanaoishi kile wanacho KIAMINI na kukihubiri ni askofu Kakobe.Kama yeye ufisadi anauita ifisadi bila kupepesa macho kama biblia inavyotaka unafikiri atapendwa na sisiem!? BIG UP KAKOBE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.