Namshukuru mungu kwa kuniweka hai hata sasa kwa magumu niliyopitia ikiwa mara ya mwisho niliwaaga kwenda jkt nasikitika sana haikuwa kama nilivotarajia
wakuu,
wasalaam,
nina rafik yangu mmoja anatarajia kuingia chuo panapo majaaliwa. wazo lake ni kusomea geology na combination anayosom ni egm .hataki banking wal uhasibu je ,inweza kumtoa hii geology? vip upatikaji wa ajira au ni coz gani mnashauri asome kulingana na mchepuo wake
karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.