Recent content by Bonyobonyo

  1. Bonyobonyo

    Mungu ni mwema Mimi ni bonyo bonyo

    Hayo ndo mapokez mkuu
  2. Bonyobonyo

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Mkuu Mwanangu anasumbuliwa sana na gesi tumboni pia kwikwi sana
  3. Bonyobonyo

    Mungu ni mwema Mimi ni bonyo bonyo

    Namshukuru mungu kwa kuniweka hai hata sasa kwa magumu niliyopitia ikiwa mara ya mwisho niliwaaga kwenda jkt nasikitika sana haikuwa kama nilivotarajia
  4. Bonyobonyo

    Kuhusu JKT reserve

    Nyanda za juu kusini
  5. Bonyobonyo

    Kuhusu JKT reserve

    Reserve wetu diploma waliend wote na nafac zkabk na hakukuwa na unfit tshajaza fomu tnavt mda wa kwend kuripot vikocn 2 sas
  6. Bonyobonyo

    Njia ya kufika kambini makutopora

    Naripot kujitolea mkuu
  7. Bonyobonyo

    Njia ya kufika kambini makutopora

    Naweza kupanda basi za arusha zikanifikisha kambini mkuu au njia nzuri ni kupnda gari za iringa dodoma
  8. Bonyobonyo

    Njia ya kufika kambini makutopora

    Shukrani Sana mkuu
  9. Bonyobonyo

    Njia ya kufika kambini makutopora

    Wakuu, Heshma yenu Nahtaji kufika kambini makutopora dodoma kutokea iringa kwa anaejua njia ya kufika naomba kujuzwa natanguliza shukrani
  10. Bonyobonyo

    Ushauri anataka kusoma geologist

    ana c ya chemia fom four mkuu but physics ana f na maths ana c
  11. Bonyobonyo

    Ushauri anataka kusoma geologist

    ufafanuzi murua kabisa usio na swali thnks mkuu
  12. Bonyobonyo

    Ushauri anataka kusoma geologist

    ushauri mkuu ujuaji wa kuchanganua maana hapo haumsaidii huyu jamaa
  13. Bonyobonyo

    Ushauri anataka kusoma geologist

    ushauri mkuu achn na kukosoa
  14. Bonyobonyo

    Ushauri anataka kusoma geologist

    wakuu, wasalaam, nina rafik yangu mmoja anatarajia kuingia chuo panapo majaaliwa. wazo lake ni kusomea geology na combination anayosom ni egm .hataki banking wal uhasibu je ,inweza kumtoa hii geology? vip upatikaji wa ajira au ni coz gani mnashauri asome kulingana na mchepuo wake karibuni...
Back
Top Bottom