Hiyo ndo maana halisi ya mwanamke……saiv yupo kituoni ndo akili ukute imemkaa sawa.
Ushauri tu : ukiona mapenzi yamepungua usiforce angalia plan B tu siku hizi mahisiano yanaendana na uchumi huenda alichokitka kwako hakuna tena na wala dalili ya kuja hakuna
Sijaona ukweli mpaka Sasa......ulizeni walimu watawaambia ukweli!
Siku hizi mwl wa degree science anavuta 805000 hapo bila makato na ndo kaanza kazi ila wa art anavuta 700k na ushee hukoo .....so msiwadis kama hamjui ukweli.......
Habari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.