kwa swala hili wakulaumiwa ni viongozi kama simba walikwisha liona hili sasa kwanini hawakuchukua maamuzi ikiwa ni pamoja na kujitoa kushiriki ligi hii ingekuwa dawa na fundisho na ligi ingekuwa ya haki lakini bado unapeleka timu kufanya nini wakati ni ligi ya mtu mmoja
Hivo mbona huko mbali sana chuo kikuu morogoro kama siyo Ben sijui ingekuwaje maana hata hao wasomi upande ule walisoma shule za pande hii na vyuo vya pande hii Tanesco wakidai chuo chao sijui
Desperate Palestinians fleeing Gaza stand at the Egyptian border. Egypt, an Arab country, is refusing to open its borders to the refugees. Not a single Arab country has offered to take in the refugees.
Kaka uko mbali sana mimi nina mfano hai mzee wangu aliwahi kujichanganya akanipeleka shule ya kiislamu ya boading kule kilimanjaro sitakaa nisahau kule christian tunabaguliwa waziwazi nilisoma miezi sita tu nilipofunga shule niligoma kabisa kurudi mpaka nikahamishwa hii ni kweli kabisa sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.