Godoro lolote ni zuri ila kwa kudumu unachotakiwa ni kujua uzito wako na lenyewe liwe na density gani hilo ndio la msingi hata hao Tanform kuna yenye density ndogo yanabonyea katikati cha muhimu uzito bro.
mimi nikuambie tuu humu jf kuna madereva kibao na wana uzi wao pia kama uelewi na ni watu wenye uwezo sana kibamba yote maili moja kwa matias na vitongoji vingi vya mkoa wa pwani nyumba unazoziona ni za Drivers na wako vizuri wewe ukasome.
wewe huna uzoefu na haya kwa hakika hao wadada ni hatari na madereva kwa kweli wapewe maua yao ungalijua jinsi hawa wanayoyafanya usingeandika huu ujinga kabisa tafuta upate ukweli hao noi hatari na kuna majambazi kabisa hao wadada na njia zotye sasa wapo kwa kazi hizo jiulize kama ni msafiri wa...
hii si kweli nilifatilia kujua statement tuu ilinichukua karibu mwezi plus kupata hili na hii ilikuja wakati wa kuunganisha mifuko ndio ikabidi nifate kujua statement.
wajinga wengi ndivyo walivyo inakusaidia nini kama unaona kwako siyo kitu achana nayo waache wanaoamini nyege za kuitafuta biblia zinatoka wapi mbona hatuangaiki na mavitabu yenu acheni ujinga fata linalokuhusu ukristo ulikuwepo kabla na utaendelea kuwepo milele yote na biblia ni kitabu cha...
kuwa na akili japo kidogo umeshambiwa muislam wa kwanza alikuwa ni Bi nani sijui mke wa Mtume na ni baada ya mtume kupewa maagizo sasa mambo ya Adam na Hawa yanakujaje msilazimishe kujulikana mtume ndio wa mwisho sasa hapo kuna akili gani tena wewe ni juha usiye jua ukweli pole sana na sisi...
utakuta anayeandika haya ni mhaya na kwao ni kinyaa huwezi kulinganisha na muonekano wao Arusha ni jiji la pili kwa majengo marefu Tanzania au ujui tafuta data bro usiongee bila ya data
Habari naomba kujua ukishalipia huduma ya kuunganishiwa umeme inachukua muda gani mpaka kupata huduma nauliza kwa sababu mimi nimelipia huduma tarehe 2.05.2025 baada ya kutumiwa gharama lakini mpaka sasa ni tarehe 21.05.2025 bado sijapata huduma naomba maelezo nijue nisuburi kwa muda gani.
huyu siyo msukuma ila ana jina la maganga lakini ni watu wa babati mali ni za dada ambaye ni kiongozi hiyo ni kampuni ya speed way yeye ni msimamizi wa mali za dada anamatukio mabaya hata Tanga aliwahi kutishia watu na bastola sasa imekula kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.