Recent content by BONTABOY

  1. B

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Mpaka ni mtoto mpiji ukiwa mpiji magpie ni jimbo la kikamba ukiwa kidimu ndio mkoa wa pwani
  2. B

    Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

    kwa swala hili wakulaumiwa ni viongozi kama simba walikwisha liona hili sasa kwanini hawakuchukua maamuzi ikiwa ni pamoja na kujitoa kushiriki ligi hii ingekuwa dawa na fundisho na ligi ingekuwa ya haki lakini bado unapeleka timu kufanya nini wakati ni ligi ya mtu mmoja
  3. B

    Ujenzi: Chumba, sebule na choo cha public

    Fundi naomba kujuzwa ujenzi wa fremu za biashara tano eneo tambarale linagharimu kiasi gani
  4. B

    Ndugu zangu Waislamu mmeshindwa vipi kuwa na hospitali kubwa Kama KCMC na Bugando?

    Hivo mbona huko mbali sana chuo kikuu morogoro kama siyo Ben sijui ingekuwaje maana hata hao wasomi upande ule walisoma shule za pande hii na vyuo vya pande hii Tanesco wakidai chuo chao sijui
  5. B

    Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

    elewa huwezi kubadilisha aliyofanya JPM katika nchi hii na alingani na kiongozi yeyote katika nchi hii ni makubwa na hayaezeki
  6. B

    Kwenye Utawala wa awamu ya 5, Viongozi wa Chadema walikamatwa, walitekwa, walifungwa jela, walipotezwa, walijeruhiwa na wengine waliuawa

    Hata uandike nini lakini kiongozi kipenzi atabaki kuwa yeye ni shujaa mmoja tu John pombe magufuli huwezi kubadilisha hilo
  7. B

    Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

    Desperate Palestinians fleeing Gaza stand at the Egyptian border. Egypt, an Arab country, is refusing to open its borders to the refugees. Not a single Arab country has offered to take in the refugees.
  8. B

    Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

    Kaka uko mbali sana mimi nina mfano hai mzee wangu aliwahi kujichanganya akanipeleka shule ya kiislamu ya boading kule kilimanjaro sitakaa nisahau kule christian tunabaguliwa waziwazi nilisoma miezi sita tu nilipofunga shule niligoma kabisa kurudi mpaka nikahamishwa hii ni kweli kabisa sehemu...
  9. B

    Hamas hawajamuua Joshua hizo ni propaganda za Israel

    uko sawa hongera tupe dondoo naona ulikuwepo kwenye tukio mjinga sana wewe
  10. B

    Wanafunzi wa kike ngono imekuwa jambo la kawaida kwao, Walezi "wamelala"

    turudi kwenye mfumo dume hapo kidogo itasaidia lakini kwa hali ya sasa tutaona mengi.
  11. B

    Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

    ni hayo tuu au kuna mengine sijakuelewa kabisa ebu rudia
  12. B

    Tunauza nguo na viatu

    beli la viatu vyeusi mtumba vinapatikana
  13. B

    Wapi nitapata daladala za kufika Bagamoyo haraka kati ya Chalinze na Mlandizi?

    Mlandizi zipo zinapita njia ya yombo, magereza, bagamoyo
  14. B

    Mmojawapo wa wakuu wa HAMAS auawa ndani ya kambi ya wakimbizi, ilibidi kambi ifumuliwe kwa bomu

    ok hivyo hawa Hamas vita vyao hilo ndio jambo kuu nashukuru kiongozi nilikuwa sijui
Back
Top Bottom