Bora wewe unaweza kuona taarifa ya habari mimi nina mwezi sipati chochote ilianza vizuri ikawa inakata kata mara gii mpaka na leo na nilikuwa nimelipia ile miezi mitatu waliyo kuwa wanatangaza ya ofer one month.
bandarini ni kitu cha kawaida kukuta familia nzima kwa wale wenye ndugu mabosi.pili tunamuomba mwakyembe achunguze vyeti na uwezo wa kazi. ukiangalia uwezo wa hawa jamaa walio pelekana pale kiundugu unakuta uzorotaji ni mkubwa sana kwani hawa watoto wa wakubwa wakifanya makosa hawaulizwi kitu...
hawa mabosi wametulipisha vitambulisho kila kitambulisho cha wale wanaoingia bandarini kwa shughuli mbambali ni sh 12,000/= na vimetengenezwa vitambulisho si chini ya million kampuni zinazotengeneza ni hizo za mfukoni hela inayopatikana haikatwi kodi kwani kampuni zao hazijasajiliwa.piga milioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.