Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Umesahau kuwa Nape kalipa uzito swali na kulijibu?
Huyu Nape hawezi hata kuwa prefect kwa nchi za wenzetu,mtu kupiga pushapu iwekwe kumbukumbu?Jamani ifike mahala ccm muwe na mtu wa editing ya maswali yenu.Ni aibu kwa taifa
Vigezo wanavyo wengi,kutia akili mfukoni,kulopoka,la saba kumcontrol proffessor,hapo watachuana kibajaji,mfuasi wa diamond na yule alietoa kanusho kuhusiana na Gwajima
Huyu alishindikana na Mwalimu kabla TISS haijawa na undugulaization,tafuteni kwanza hela za mkutano mkuu,maana mmeanza kuisoma namba.CCM haina hela???duh
Mungu wangu,si bora waliotoka maana sioni kinachojadiliwa zaidi ya kujadili budget,naomba Kashilila alliite bunge la kujadili upinzani.Kwahoja hizi hata Lizaboni hawezi kuja na uzi wowote
Nitajie mambo kumi aliofanya huyu Mesiah wa lumumba?mikataba mibovu imeisha?pesa za escrow zimerudishwa,katiba mpya kaigusia?ukali wa maisha umeshuka?miradi hewa kagusia?wizara inayoongoza kwa majipu in ile iliyokuwa sijui yake sijui ya nani,nilidhani angeanzia huko panaoongoza kwa miradi hewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.