Recent content by Bongorick

  1. B

    Kuishi Duniani hakuhitaji Akili (Siri iliyojificha)

    Kweli, uliza walio na mafanikio duniani, hawajatumia saaana akili zao. Ni majaaliwa tu ya Mola.
  2. B

    Prof. Shivji Issa: Nipo nchi gani; baharini au barani?

    Mumu hakuna majemedari, waliopo wote ni majambazi.
  3. B

    Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

    Hivi humu jamvini na wachawi wapo? Uchawi wako ushindwe na ulegee.
  4. B

    Tarehe kama ya leo Oktoba 25, 2015 tulipiga kura na kuchagua haya maisha, mnakumbuka?

    Umetumia kigezo gani kusema" tulio wengi?". Labda wewe na betri zako za tiger zilizoanza kuvuja.
  5. B

    Siri yafichuka! CCM mwaka 2020 jiandaeni kupambana na huyu

    Si msikani, au unatokea chato nini? Unaitwa "usukani" Wewe endelea kumfagilia huyo muuaji/ mtekaji.
  6. B

    Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma

    You like Yohana Alcohol Ma-lock or the big ass one Bashite. You are so shithole one.
  7. B

    Kutekwa na kuachiliwa kwa Mo ni baraka kwa Serikali ya Magufuli

    We unajitoa akili kwa makusudi au umepewa buku 7?uaisafisha serikali kwa lipi? Mtu ametekwa alfajiri hao unao watetea wanasema walikuwa na kikao na madereva wa mwendo kasi, wanatuletea coloured picture za cctv, wanamwachia karibu na ikulu, sehemu iliyo na ulinzi wa kufa mtu, wanatoweka nakuacha...
  8. B

    Wanaodhani familia ya Dewji ni rafiki wa Watanzania fikirieni tena

    Na serikali yako je? Inatangaza imeajiri watu 3,000 afya ila 90% ni attendants. Inasema imeajiri waalimu 4000. Wengi wao ni washule za msingi na za awali. Usanii mtupu. Afadhali ajira za Mo kuliko serikalini, wanaajiri zaidi cheep labour ili waonekane wameajiri.
  9. B

    Godbless Lema amtaka Mo Dewji kuwa jasiri na kusema ukweli juu ya kilichomtokea

    Microchip imewaumbua, wamebaki kutafakari nini itakua hatma ya sakata hili. Mmelikoroga,lazima mlinywe.
  10. B

    Godbless Lema amtaka Mo Dewji kuwa jasiri na kusema ukweli juu ya kilichomtokea

    Kiswahili hakina maneno yenye kumaanisha zaidi ya "zidumu fikra za jiwe"
  11. B

    Mo Ndani Ya Fox News

    Wanafanya jaribio la kuichoma gari,"wanashindwa" inawezekana ile gari imetengenezwa kwa madini ya asbestos. Na eneo walipomwachia haiingii akilini kwani ni eneo lenye ulinzi mkali. Drama nyingine ni kuacha silaha ndani ya gari. Mi naamini " kuchamba sana utatoka na mavi"
  12. B

    Maswali tata kuhusu utekwaji na upatikanaji wa Mohamed Dewji MO

    Mapovu yanini? Jibu hoja. Kwa nilivyomuona Mo ktk ile clip, upon umuhimu wa kupelekwa nje ya nchi kwa checkup. Alidhoofu zaidi ya Roma baada ya kutekwa na kuachiwa. Mo ana mengi ya kutueleza kuhusu tukio hili, ila najua hatosema chochote kama ilivyokuwa kwa Roma. Labda utawala ubadilike.
Back
Top Bottom