Napenda sana utendaji wake lakini kwa hili simuungi mkono hata kidogo.
Na kama hatakemewa mapema basi kesho atatokeza sehemu nyingine na kuitaja soda gani anayopendelea kuinywa wenda coca au pepsi, au labda mtandao gani anaupenda zaidi, tigo/voda/airtel/zantel/hallotel''
Kwangu mimi nadhani ni...
serikali yetu ni ya ajabu sana, inaacha kutetea wananchi wake inatetea wawekezaji, hawajui mishahara midogo inapelekea kulipa kodi kidogo......mfano raisi wetu anasema tanesco kuichukua mitambo ya IPTL itakimbiza wawekezaji, matokeo yake tunajaza wawekezaji wengi wasio na faida kwa...
serikali kupitia wizara ya kazi na ajira iliagiza kwamba ni marufuku kwa mawakala wa ajira kuajiri ama kukodisha wafanya
kazi kwa kampuni zingine na kwamba kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria ya huduma za ajira na 9 ya mwaka 1999, sura ya
243 kamailivyorejewa mwaka 2002...
Bado...
MAELEZO NA HOJA BINAFSI YA KUPENDEKEZA BUNGE LIJADILI NA KUPITISHA MAAZIMIO YA HATUA ZA HARAKA ZA KUBORESHA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI NA USHUGHULIKIAJI WA MAJI TAKA KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA MUJIBU WA KANUNI YA 54 FASILI YA (1) YA KANUNI ZA KUDUMU ZA BUNGE TOLEO LA MWAKA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.