Ni sahihi kwa mshahara huu wanaolipa wawekezaji?

niliwapelekea cv yangu cku wakinipigia cm nawaambia mwenye cm kaiacha kwenye chaji
 
thubuutuuu! nina kazi japo si kubwa kiivyo. ivi mnajua sasa iv mwalimu wa grade A anapata basic zaidi ya laki nne?
 
Mi hata hiyo kazi ya kulipwa 400,000/- Gross nahihitaji sana yaani ukiona wamekuita/ kuna kazi yoyote mbali na ya viettel please and please ni direct mie...just ni pm.

Ntakushukuru Sana Sana
 
Kima cha chini Tanzania hakitegemei elimu inategemea industry.

Tena hiyo 400,000/= ndo kima cha chini kwenye kampuni za tellecommunications yaani hata mfagizi Voda lazima alipwe hiyo.
So jamaa kisheria wapo sawa ila sielewi itarun vipi hii kampuni anyway tuone.

Tena wametangaza tena kazi za Shinyanga:
Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment

Accountant Job in Other, Tanzania

Technical Staff of District Centre Job in Other, Tanzania

Technicians & Legal Officer Job in Other, Tanzania
 
hamna pesa nyingi wala kidogo issue its how unaweza kuibajeti tu tofauti na hapo hakuna kitu ata ulipwe milion na zaidi
 
Serikali iangalie kutunga sheria ya salary ktk haya makampuni binafsi hasa ya nje, na km ipo ilekebishwe maana inaonekana hawa jamaa wanapata favor kubwa sana na faida ya kutosha tena kwa kutumia rasilimali watu waliopata elimu kupitia kod za walala hoi.
Sasa angalia wanaingiza faida kubwa kod kulipa matatizo na bado wanaumiza wa tz. Gvt mmelala sana ebu shitukeni bana.:mad:
 
Serikali iangalie kutunga sheria ya salary ktk haya makampuni binafsi hasa ya nje, na km ipo ilekebishwe maana inaonekana hawa jamaa wanapata favor kubwa sana na faida ya kutosha tena kwa kutumia rasilimali watu waliopata elimu kupitia kod za walala hoi.
Sasa angalia wanaingiza faida kubwa kod kulipa matatizo na bado wanaumiza wa tz. Gvt mmelala sana ebu shitukeni bana.:mad:

Upo sahihi sn
 
mmh kama ni hivyo.turudi kijijini tu. lak 4 kwa mwez mwasema nyingi
Mbona hiyo salary ni kubwa sana mkuu, nilifanya interview na watu wanajiita ISON BPO customer care Tigo walituambia dont expect much our package is Tsh 247000= as basic per month, working time is 8hrs per day, kwa waliokuweko ile siku pale nadhani watakuwa mashidi hiyo pesa ilitangazwa kabla ya USAILI kuanza, ahsanteni
 
hamna pesa nyingi wala kidogo issue its how unaweza kuibajeti tu tofauti na hapo hakuna kitu ata ulipwe milion na zaidi

Ndio, ntakuunga mkono kama economics kwamba jinsi unavopata pesa ndivyo matumizi yanavoongezeka kwa kufwata your scale of preference, lakin ndugu kwenye upande wa salary Iron Law of Wages, maintained that the wages of labourers should be kept at the lowest possible level because their high rate of reproduction ensured a surplus supply of labour. He also advocated a restriction of the Por Laws eg tanzania.

According to Lassalle, wages cannot fall below subsistence wagelevel because without subsistence, laborers will be unable to work. However, competition among laborers for employment will drive wages down to this minimal level. ..... Tanzania gvtment policy on private workers must must be reformed again .. hili insue linakua NGUMU SABABU WALIOPO SERIKALINI SECTA NYINGNE NI MAJANGA TU.. as walimu
 
Ukistaajabu y viatel utayaona ya asa microfinance. ..ni shiida watu wanapig mzigo km wapiga debe basic 350 wakikatw wanaondok na 290 vocha elfu tatu na mia tano kwa mwz na bdo wasomi wanakomaa hpo hpo jmn hawa wawekezaji wanavuna sn kwny hii nchi yetu.
Tunarud kwny ukoloni tukijiona.
 
Kuna mdau 1 ameuliza unaikataa hiyo(400,000) unaingiza sh ngapi kwa sasa? Wengi wetu unaweza kuta tunasema hatuwezi kufanya kazi ya namna hiyo lakini tumekaa tu hatuingizi kitu! Ngoja nikuambie,mwalimu wangu wa msingi alikua anamsemo wake, " something is better than nothing " na pia maneno ya Mungu yanasema mwenye nacho anaongezewa. Kila mafanikio yanasehemu ya kuanzia,kubali kwenda chini sana ili uende juu zaidi,hizo ni expectactions za graduate,I was once a graduate wa ifm nikitegemea nice job with a package above 800,000. Namshukuru Mungu aliyenifundisha kujitolea,nilianza na posho ya 5000 after two days yani kama 15,000 kwa wiki. Nikapanda mpaka mpaka 400,000 in two yrs ya uaminifu+kujituma. Hivi I'm speaking I'm above 1,000,000. Sasa rafiki hebu tuamue kujituma na kukubali kushuka ili tupande juu. Kuna muubiri wangu aliwahi kusema, " a problem is an opportunity for you to shine". Nendeni mkafanye kazi marafiki,jitumeni na mtafika tu. All the best.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kuna mdau 1 ameuliza unaikataa hiyo(400,000) unaingiza sh ngapi kwa sasa? Wengi wetu unaweza kuta tunasema hatuwezi kufanya kazi ya namna hiyo lakini tumekaa tu hatuingizi kitu! Ngoja nikuambie,mwalimu wangu wa msingi alikua anamsemo wake, " something is better than nothing " na pia maneno ya Mungu yanasema mwenye nacho anaongezewa. Kila mafanikio yanasehemu ya kuanzia,kubali kwenda chini sana ili uende juu zaidi,hizo ni expectactions za graduate,I was once a graduate wa ifm nikitegemea nice job with a package above 800,000. Namshukuru Mungu aliyenifundisha kujitolea,nilianza na posho ya 5000 after two days yani kama 15,000 kwa wiki. Nikapanda mpaka mpaka 400,000 in two yrs ya uaminifu+kujituma. Hivi I'm speaking I'm above 1,000,000. Sasa rafiki hebu tuamue kujituma na kukubali kushuka ili tupande juu. Kuna muubiri wangu aliwahi kusema, " a problem is an opportunity for you to shine". Nendeni mkafanye kazi marafiki,jitumeni na mtafika tu. All the best.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Asante kwa ushaur wako mzurii..
 
Okay,karibu tena na tena.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
serikali yetu ni ya ajabu sana, inaacha kutetea wananchi wake inatetea wawekezaji, hawajui mishahara midogo inapelekea kulipa kodi kidogo......mfano raisi wetu anasema tanesco kuichukua mitambo ya IPTL itakimbiza wawekezaji, matokeo yake tunajaza wawekezaji wengi wasio na faida kwa taifa.....tunahitaji watu wenye utashi na upeo sio wazembe kama hawa akina kikwete.
 
serikali yetu ni ya ajabu sana, inaacha kutetea wananchi wake inatetea wawekezaji, hawajui mishahara midogo inapelekea kulipa kodi kidogo......mfano raisi wetu anasema tanesco kuichukua mitambo ya IPTL itakimbiza wawekezaji, matokeo yake tunajaza wawekezaji wengi wasio na faida kwa taifa.....tunahitaji watu wenye utashi na upeo sio wazembe kama hawa akina kikwete.

Hujasoma uchumi ndo maana unamlaumu prezidaa, uchumi unafungua sana akili za watu.
 
Kuna mdau 1 ameuliza unaikataa hiyo(400,000) unaingiza sh ngapi kwa sasa? Wengi wetu unaweza kuta tunasema hatuwezi kufanya kazi ya namna hiyo lakini tumekaa tu hatuingizi kitu! Ngoja nikuambie,mwalimu wangu wa msingi alikua anamsemo wake, " something is better than nothing " na pia maneno ya Mungu yanasema mwenye nacho anaongezewa. Kila mafanikio yanasehemu ya kuanzia,kubali kwenda chini sana ili uende juu zaidi,hizo ni expectactions za graduate,I was once a graduate wa ifm nikitegemea nice job with a package above 800,000. Namshukuru Mungu aliyenifundisha kujitolea,nilianza na posho ya 5000 after two days yani kama 15,000 kwa wiki. Nikapanda mpaka mpaka 400,000 in two yrs ya uaminifu+kujituma. Hivi I'm speaking I'm above 1,000,000. Sasa rafiki hebu tuamue kujituma na kukubali kushuka ili tupande juu. Kuna muubiri wangu aliwahi kusema, " a problem is an opportunity for you to shine". Nendeni mkafanye kazi marafiki,jitumeni na mtafika tu. All the best.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Safi sana pia karibu tunafanana sana.
 
Back
Top Bottom