Recent content by Bongo Trust

  1. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Wakuu bado sijapata Guta, naomba aliye na uwezo wa kulinunua anisaidie anunue anikabidhi tufanye hii biashara, hatakama kuna mtu unajuana nae na anaweza kunipa mkataba basi tusaidiane kuniunganisha nae ili tuweze kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo ya nchi yetu.
  2. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    😂😂😂Kwanza huku milima, guta la baiskeli isingewezekana
  3. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Yeah huku biashara ipo boss
  4. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Sina maana hiyo mkuu nilicho kadiria kwenye 29000 ni hela ya marejesho ila maana hata ukigawa 200000 kwa 7 unapata 28571.42.. ndio nikapiga approximation ya 29000. Ila kama muulizaji alitaka kujua jumla ya kipato nachopata kwa siku, jibu ni siku hazi fanani, kuna siku naweza laza 40,50 au zaidi...
  5. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Kweli boss hapo inaongezeka bima 95000 na Sumatra 22000 kwahiyo jumla inakua 6,817,000
  6. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Ni kadirio la Tsh 29,000 boss
  7. Bongo Trust

    Naomba Guta la mkataba Njombe

    Wakuu kama post inavyo jieleza, mimi ni dereva wa Bajaj na Guta mkoa wa Njombe wilaya ya Makete na leseni ninayo. Ninauhitaji na guta la mkataba aina ya Sinoray Q7 kama hili nililoweka kwenye picha. Dukani Guta hili linauzwa million sita na laki saba (6.7M) Mkataba utakuwa wa muda usio zidi...
  8. Bongo Trust

    Kwanini hauwezi kurudia raundi ya pili?

    Ngoja wazee wa "baada ya chali kimoko" waje wajibu
  9. Bongo Trust

    Ni kitu gani cha kijinga ambacho kinaaminiwa na kundi kubwa la watu

    Kwamba kuna moto wa jehanamu Mungu ameandaa kuchomea watu wenye dhambi.[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji23][emoji23] Sasa kama mungu anajua kila kitu, inamaana alishajua tangu siku ya kwanza kuwa anaumba mwanadamu ambae hata iweje hato mtii sheria zake na mwishoe ataishia kumchoma moto...
Back
Top Bottom