Recent content by Bongo Tech Giant

  1. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu kapigwa Milioni 20 na mke wake kamkimbia kamuachia manyoya

    Bora huyo mwanamke kaondoka alikua ni nyoka angekuja kumfanyia tukio baya baadaye.
  2. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Kama kuna mtu alishawahi kufanikiwa mpaka mwisho bila kufilisika baada ya kukopa mkopo atupe ushuhuda

    Tumekua tukisikia msemo unasema kufilisika huja na roho ya madeni. Tunaomba ushuhuda kwa wenye uzoefu kama umewahi kukopa au umewahi shuhudia mkopaji akifanikiwa baada ya kukopa.
  3. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Fursa za Kazi za Remote (Mtandaoni) kwa Wataalamu wa IT, Biashara na Anga: Jiunge na Alignerr ($30 - $100+/hr)

    Habari wakuu, Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
  4. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania BSc. Petroleum Chemistry Vs BSc. Petroleum Engineering. Ni kozi ipi ina uwanja mpana wa Ajira?

    Katika ulinganishi wa soko la ajira duniani, BSc. Petroleum Chemistry ina uwanja mpana zaidi wa ajira ukilinganisha na BSc. Petroleum Engineering. Sababu kuu inayofanya Kemia ya Petroli kuwa na wigo mpana ni unafuu wa ujuzi wake kuhamishika (transferable skills) kwenda kwenye sekta zisizotumia...
  5. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania 22 Inch LED Ring Light Full Set Zenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu kwa TSH 70,000

    Acha kudanganya watu boss. Ringlight gani ambayo ni 3000 hapa duniani.
  6. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania 22 Inch LED Ring Light Full Set Zenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu kwa TSH 70,000

    Habari, Tunazo 22 Inch LED Ring Light Full Set Zenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu kwa TSH 70,000 ✅Zina Mwanga mkali na soft light 💡 inayohifadhi macho! – zinafaa kwa salon, studio, na content creation, na matumizi ya nyumbani! 📞 Whatsapp: 0687746471 Stoo ni chache...
  7. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania 22 Inch LED Ring Light Full Set Yenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu TSH 70,000

    Habari, Tunazo 22 Inch LED Ring Light Full Set Zenye Tripod Stand, Remote, Charger na Phone Holder Tatu kwa TSH 70,000 ✅Zina Mwanga mkali na soft light 💡 inayohifadhi macho! – zinafaa kwa salon, studio, na content creation, na matumizi ya nyumbani! 📞 Whatsapp: 0687746471 Stoo ni chache...
  8. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa kuhusu VETA Chang'ombe

    Pitia post za Bongo digital network Facebook au Instagram au tiktok utapata majibu yako.
  9. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa jinsi ya Kufanya ili Uweze kulipwa na Facebook kila Unapo Post Content Zako

    Mbona wazungu hawapo hivyo? Watanzania wengi akili zipo chini sana. Wazungu wanatengeneza content za kufundisha na wanafanikiwa. Sasa kwasababu wabongo empty head uwezo mdogo wa kufikiri inawalazimu kulete content za kukaa uchi.
  10. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa jinsi ya Kufanya ili Uweze kulipwa na Facebook kila Unapo Post Content Zako

    Watu wengi bado wanatumia Facebook kama sehemu ya kupitisha muda tu, bila kujua kuwa kila siku mamilioni ya dola yanagawanywa kwa creators wanaopost maudhui yanayovutia. Ukweli ni kwamba Facebook siyo tu mtandao wa kijamii ni soko la fursa. Kila unapopost kwenye Facebook, huna post tu kwa ajili...
  11. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna ya kufanya configuration ya universal pocket Wi Fi

    Tatizo la universal pocket Wi-Fi kuonyesha ujumbe wa connected without internet mara nyingi hutokana na settings za mtandao kutokuwa sahihi. Ingawa kifaa kinaonyesha kimeunganishwa vizuri na simu au laptop, inakuwa hakina njia ya kuwasiliana na mtandao wa simu uliowekwa ndani yake. Kawaida...
  12. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How To Install Windows 11 On Unsupported Devices

    Kuhamia Windows 11 kuna faida zake na changamoto zake, na maamuzi yako yatategemea sana unavyotumia kompyuta yako. Moja ya faida kubwa ni kwamba Windows 11 imeboreshwa kwenye muonekano na urahisi wa kutumia. Start menu yake ipo katikati, kuna njia mpya za kupanga madirisha (snap layouts), na pia...
Back
Top Bottom