Habar Wana jf
Binafsi mm mwenyewe Nina furaha sana kuona Kenya na tz wanachangia maada bila kupondana kwan ilikuwa mbaya sana kipindi cha nyuma watu kuombea mabaya ili waanze kupondana hii Aman imeletwa baada ya maraisi Hawa wawili kukutana chato kiukweli hii ndio Eac ya kuombea heri na mafanikio
Mm nimeweka Gb1 saa tatu nimewasha whatsap tu saa sita wananiambia nimetumia 90% ya bando saa nane bando kwisha naomba ushauri ni mtandao gani hawana huu ubabaishaji maana nimeweka mb50 sa iv nahisi naweza onekana kesho humu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.