mimi niliingiziwa millioni 250 kwenye akaunti yangu ya NMb ,siku naangalia angalia nmb mobile kutoka ni nunue Bando mdo nashangaa mapesa mengi ila niliogopa sikutoa hata mia kwa kuwa najua sheria za bank ni noma niliishia kuwaringishia MARAFIKI zangu kama mwezi hivi wakala wakaiondoa wenyewe
SIMPLE KAKATE LESENI YA UNUNUZI WA ZAHABU THEN ZUNGUSHA FENSI.UWANJA WAKO THEN.MEGA KIDOGOKIDOGO UNAPELEKA SOKONI.SIMPLE AND CLEAR KUMBUKA HII KAZI.UNATAKIWA UIFANYE PEKEE YAKO IKIWEZEKANA HAMISHA KABISA FAMILIA YAKO PELEKA SEHEMU.NYINGINE HII INAKUWA SILI YAKO WEWE TU NA MCHIMBAJI WEWE TU.
KUNA FUNDI LENU LA TANESCO HUKU IFAKARA LILA RUSHWA NIMELIBANABISHA MA TAKUKURU HADI LITAOMBA POOH MWAKA HUU LILIZOEA KUWAIBIA WATU KWA KUOMBA RUSHWA NDO LITOE HUDUMA LINAITWA ROBERT MPEHO LITAKUWA FUNZO KWA WENGINE HAPO TANESCO KWA KUOMBA RUSHWA.
umenigusa direct mimi nilivyomaliza level tu nilienda veta coz nilikuwa napenda ufundi umeme japo mzee alitaka niendelee na advance mimi nikakataa nilikomaa 2yrs namaliza tu grade 2 mtaani kila mtu alikuwa ananiita kufix ishu za umeme nikawa fundi wa mtaa nikazoeleka nikawa napiga wiring hadi...
Dogo langu la mwisho lilienda huko aise niliweka x tu kuwa sasa mwana nshampoteza bahati nzuri karudi juzi anakwambia nchi inanuka damu cha ajabu bro wa pili yupo kule miaka 20 sasa na katusua ila hafanyi kazi nyeusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.