Huduma zenu za m pesa zina harufu ya wizi unatuma pesa baada ya hapo sms inayorudi ya muamala haionyeshi gharama ulizokatwa kwa huduma hiyo ukiangalia salio unakuta umekatwa pesa nyingi huo ni wizi hebu rekebisheni hilo tigo kwenye hili wao wako vizuri sana
Post yako imenistua kweli kweli maana leo hii hii nimemkopesha demu elfu mia moja naingia jamii foram nakutana na post yako duuh nawaza je itarudi kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vodacom mi mmeniuzi mi nilikuwa halotel nimehamia voda kwa namba zangu za halotel kwa ajili ya offer zenu hasa hasa dar supa uni sasa nina kila sababu ya kurudi home
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujanishawishi kuamini huo utafiti wako navyo elewa ni kuwa hospitali za serekali kina mama wengi hupoteza maisha kwa kuwachelewesha ili wajifungue kwa njia ya kawaida hili nalo hebu lifanyie utafiti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.