Inawezakana wewe haupo Kyela au upon kwenye kundi LA Njemke, kwa taarifa yako mnada umefanyika tenende chama cha.msingi tarehe 17/10/2018 na hiyo ndio bei ya juu na mnunuzi aliyeshinda ni Olam,sasa kama hujui labda wewe sio mkulima au ni Njemke au ndio upo kwenye kundi la hao viongozi...
Habari za kiuchunguzi toka wilaya ya Kyela baada ya kuongea na wakulima na wanaushirika Wa kokoa wamefurahia mfumo Wa stakabadhi Guarani na kuondokana na kampuni za watu.binafsi na wachuuzi Wa kokoa alimaarufu "Njemke" ambao walikuwa wakiwanyonya wakulima kwa kununua kokoa kwa bei ndogo ambayo...
Huyu mzee bado tu hajaacha usanii wake?karukia kwenye kuwatafutia chakula ile mvua ya kubumba aliyosema ataleta toka Thailand imeishia wapi?Muwe mnajiongeza msifurahie tu sanaa zake muwe mnamkumbusha na mambo ambayo alisema zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.