Recent content by Bon-CN

  1. B

    Mwanasheria Mkuu wa Marekani: Maduro na mkewe watashtakiwa New York kwa kosa la ugaidi na kuingiza Cocaine na bunduki nchini Marekani

    Hata Yesu alipokamatwa, kuna wengine walishangilia! Tusitafute kujazana ujinga kwa kuaminishana eti Trump kafanya hayo kwa manufaa ya Venezuela na Wanavezuela!
  2. B

    Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Again, Mungu akusamehe kwa sababu wengine matatizo yanaanzia kwenye malezi yenu!!
  3. B

    Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Mungu akusamehe kwa lugha zako za kifedhuli kwa sababu yeyote asiye na hitilafu kwenye mfumo wake wa ufahamu pia anafahamu ni kipi kinahamasishwa na TEC! Na huyo asiye na hitilafu anafahamu kuhamasisha jambo sio lazima jambo hilo litamkwe wazi wazi.
  4. B

    Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Ni kweli walimpinga hadi Magufuli. Hata hivyo, walikuwa wanampinga kwa dhati ya moyoni kabisa au kwa namna ya kufunika kombe mwanaharamu apite?! Kwa mfano, unaweza kuweka ushahidi hata wa kauli unaoonesha TEC waliwataka wananchi kuchukua hatua dhidi ya uvurugwaji mkubwa wa uchaguzi wa 2020...
  5. B

    Marais wa Tanzania ambao Hawajaacha Legacy Yoyote

    Waswahili wanasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Mengi uliyoongea ni ya mitandaoni ambayo hata Magu aliambiwa alikwiba 1.5 trillion na kwamba mabilioni ya pesa yalikutwa ndani kwake baada ya kufariki! Vilevile tumeambiwa jinsi magu alivyotumia mabilioni kupendelea nyumbani kwao chato...
  6. B

    Hivi ukisafiri kwa kutumia Mabasi ya Mikoani na mkasimamishwa Kugaguliwa Vitambulisho ni Kosa? Na kama unacho kwanini uogope au uone Kero kukaguliwa?

    Tumezoea kuita ID, yaani Identification Card! Yaani Kadi ya UTAMBULISHO! Kadi inayolenga kukutambulisha wewe huwa haikai uvungu wa kitanda au kabatini au kwenye begi bali unatakiwa kuwa nayo wakati wote!
  7. B

    GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Wanafiki Kazini! Mimi nipo na Godless Lema, nyie ni watu wa kuogopwa kama ukoma
  8. B

    Mtanzania, Subiro Mwapinga akabiliwa na Mashtaka Marekani kwa Mipango ya kusambaza Silaha za Kijeshi kwa genge la biashara ya Dawa za Kulevya

    Huyo hawezi kuwa Mhaya wala Mchaga kwa sababu wote ni watu wa mbwembwe! Hao ni wale from silent regions or tribes! Unakuta watu wana mkwanja lakini huwajui!
  9. B

    Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    WAtu mnapenda sana kujazwa ujinga kama sio upumbavu!! Iran yenye Makanisa na Masinagogi ya Kiyahudi, na Israel inayopiga mabomu makanisa, ni nani hapo mfia dini?
  10. B

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Mkuu, afadhali nimekutana na mtu anayejadili mada kisomi kuliko akina Kalamu ambae ni full kujimwambafai na kujitia ujuaji lakini hamna kitu! Hata hivyo, achana na habari za zamani! Achana na habari za duniani kote kwa sababu umeshatoa reference ya kisheria, na hapo ndipo tunatakiwa kujikita...
  11. B

    Huyu Kocha Mpya wa Yanga-Folz , hafikishi Christmas ya Mwaka huu 2025

    Tukubali wana Lunyasi Uto wana timu mzuri na ndo maana wanapata kiburi cha kuokoteza okoteza makocha. Threat kwa huyu Dogo ni CAF Champions ambayo kwa hali ya kawaida wataingia tu Makundi. Sasa hayo makundi ndo yanaweza kumwondoa lakini xmas itakuwa imeshapita. Labda tuseme pasaka.
  12. B

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Huna cha kutoa fundisho mburula wewe! Kwanza ni Usajili na sio Usajiri! Hata matumizi sahihi ya "r" na "l" yanakupa taabu halafu ndo utake kunipa fundisho? Kwa fundisho gani ikiwa unashindwa hata kuelewa kinachozungumziwa hapa ni matakwa ya Uandishi wa Habari lakini mara zote umeishia kutoa...
  13. B

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Yaani kila wakati unaendelea kuthibitisha ujuha wako! Suala sio ustadi ewe mbumbumbu bali matakwa! Unaweza kuendesha gari kwa ustadi wa HALI YA JUU lakini hiyo peke yake haikupi sifa ya kuendesha gari barabarani basi NI LAZIMA UWE NA LESENI! Hata yule University Graduate, and in fact hata Form...
  14. B

    Masoud Kipanya, CZA na Fetty wa Clouds pamoja na CEO wa Jambo TV wadaiwa kuzuiwa kufanya shughuli zozote za kihabari

    Angalia ulivyo mpumbavu na mifano yako ya kipumbavu! Hapa kwetu Maprofesa ni Waalimu au Wahadhiri? Hivi una akili kweli wewe? Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwanini hata kama una non-teaching digrii lakini ili uwe na sifa za kuwa mwalimu inabidi ukasome posgraduate diploma? Btw, ukishakuwa msomi...
Back
Top Bottom