Ni upuuzi kuanza kumjadili mtu, unless kama umeishiwa cha kuandika. Chukulia kama mtu angeweka picha ya mzazi wako hapa aanze kujadiliwa ungejisikiaje? Kama imefilisika kichwani kaa kimya.
Kulewa kwa mtu wake kunamsaidia binti kujua yaliyojificha, na hivyo kumsaidia kufanya maamuzi kuhusu hatma ya mahusiano yao,,, vinginevyo ingekuwa kama usiku wa kiza kujua yaliyofichika.
Fanya kazi kwa bidii.... kama ni professional fanya consultancy works za nguvu, pata pesa nyingi badili maisha, na mwonyeshe kwamba kwa sasa unazo. Hakuna asiyependa pesa, atakufuata tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.