Halafu mchawi mwingine ni mtanzania mwenzako(supervisor). Muhindi anakupiga kwa kukulipa 5000 per day, halafu msimamizi wako nae anakupiga kwakukulipa 4000 au 4500 per day.Maisha ya viwandani ni magum sana hapa tz
Hii ndio sababu wazungu waliona kutuzuga tusijue kuhusu hiki kitabu na yaliomo ndani yake wakaamua kutuletea Bible. Hiki kitabu kimebeba Kila kitu kilichomo duniani cha siri na dhahiri.ni asilimia chache sana ya watu wanaokijua hiki kitabu Tena kwa uchache lakini mambo wanayoyafanya kupitia...
Habari wa kuu,kuna mdada mwaminifu na mchapa kazi anatafuta kazi ya kuuza duka la madawa hapa Dar es salaam.
Taalauma yake ni Nesi ila amekuwa akifanya kazi ktk maduka ya madawa kwa muda sasa.Kama unahitaji nicheki nikuunganishe nae!!!
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.