Hivi Wewe bwana umeshindwa hata kujiuliza kuwa Hao wazungu wanataka nini Tena hapa Tanzania ilihali karibu Kila kona wapo na wanakula rasilimali zetu wanavyotaka?
Mzungu hufitinisha pale anapoona maslahi yake yanakanyagwa. Sasa unataka kusema serikali hii ya Samia na jk inakanyaga maslahi ya...
We matako hebu kaa kimya mjinga Wewe, mimi ni raia wa kawaida sana Ila nachukizwa mnoo na jinsi viongozi watawala wanavyoiendesha nchi😭, hebu kaa kimya kama huna cha kuongea, raia tumechokaaa
Hili ndilo tatizo linalowatafuna team mbowe na mbowe mwenyewe. Mliaminishwa kuwa mbowe ni alfa na omega. Na bado hamtaki kuamini kuwa zama zimebadilika.Wametukanwa kina kikwete lakini mpaka leo CCM bado haijayumba
Laiti ikitokea uchaguzi ukafanyika kwa huru na haki, basi hata kama chadema wasipifanya kampeni au wafanye kampeni siku moja tu kabla ya uchaguzi, na kuhakikisha CCM watagaragazwa vibaya mno na wananchi.
Kiufupi tumewachoka mnooooo viongozi na CCM yao.
Hivi Kuna alieshituka kuwa CCM na...
Licha ya uwepo wao lakini nasikia Kuna mapandikizi kibao ndani ya nchi na serikalini Tena wengine wapo ktk ngazi za maamuzi.
Swali ni je walipenyaje mpaka kufika huko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.