Kwanini Mtume amepoteza watu hivi?

Kwanini Mtume amepoteza watu hivi?

Umesema mtume Solomon aliyajua MAJINI ambayo yameelezewa ndani ya hivyo vitabu vya APOKRIFA vyenye kufafanua dini ya kiyahudi na kikristo....

Sasa kwanini tumuachie Muhammad pekee atufafanulie juu ya hao majini aliojifunza kutoka kwa mtume Solomon humo APROKIFANI na kufikia kutuandikia katika Quran pekee na hatuyaoni hayo katika vitabu vya kiyahudi na kikristo......


Hebu nitag website ya hivyo vitabu nami niijue elimu ya MAJINI aliyokuwa nayo mtume Solomon.....
 
1. Kabla ya tukio la pango la Hira Muhamad alikuwa akiabudu mungu yupi?
2. Baba na mama wa Muhamad walikuwa dini gani?
3. Ni wapi Allah amejitabulisha kwa Muhamad kwamba yeye ni Mungu?
4. Kwa nini Waislam wanafanya waliyokuwa wakifanya wapagani wanapo kwenda hija Makkah?
Maswali yote hayana mantiki kwa sababu ,Mtume alivumbuliwa miongoni mwa makabila ya waarabu ,enzi za ujahili ( ujinga yaani kukosa elimu) ...Mtume alipata utume akiwa Mkubwa na ilishatabiriwa ndiyo maana hata alipotokq sehemu kwenda nyingine alipokelewa kwa vile taarifa zilishafika .

Alipingwa vikali na watu wa karibu yake , mmoja wapo ni mjomba wake Abuu lahab(baba wa moto ) sio jina lake halisi.

Elimu kuhusu Zama ambazo kazaliwa mtume ,mbona issah na Daudi au Mussa hawakuwa zama moja?

Enzi za ujahili hata wazazi wake walikuwa majahili ,kumbuka uislamu hauwezi kuhukumu mtu mpaka ujumbe wa Mungu uwafikie ,wametumwa mitume ili kufikisha ujumbe .

Ukisoma tu suratul Iqra basi 🤣🤣inajitosheleza na Qur an nzima Mungu amejitambulisha ..Utaona kuna maneno '' Mungu anaseme'' yapo mengine mbalimbali .


Hija pale Meccah ndiyo uthibitisho kwamba uislamu Ulikuwepo ,rejea jeshi la ndovu lilitoka kuvunja kaaba ,mali ile iliachwa na manabii waliopita ambao ni Waislamu... Katika zama zile waliokosa elimu (ujahili) basi wakawa wanatumi lile eneo kufanya ushirikina yaani kulikuwa na masanamu ...Ila Mtume alipewa wahyi wa kwenda kufanya hija na ile sehemu ni mali ya waislamu ... Mwishoe yale masanamu yaliondolewa na mila zote zikaondok mji ule ni wa waislamu kutokana Kaabah .
 
Mtu akishasema kakutana na Mungu, au kaongea na Mungu, au kaonyeshwa kitu fulani na Mungu.
Huyo ana tatizo la afya ya akili.
Hekima ya Mungu Kwa Wanadamu ni Upuuzi.
Na hekima ya Binadamu Kwa Mungu ni Upuuzi.

Wewe endelea Kula kule unapopeleka Mboga, coz Biblia inasema Kila Mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe siku hiyo.
 
Mtume Paulo aliwasema Hawa, alipoingia kwenye Miji Yao, akisema wanaonekana wanapenda habari za Mungu, lakini Mungu wanayemwabudu sio yule Mungu wa Ibrahim....!
 
Muhammad ndiye muanzilishi wa dini ya Uislamu, jamaa ameharibu watu kwa dini na kitabu cha kutunga kwa kuiba kutoka vyanzo hasa vya wayahudi na wakristo waasi ,Quran ni mkusanyiko wa vitabu vya Apokrifa kwa 80%
10% ni TAMADUNI za kiarabu, 10% ni mawazo ya Muhammad



Hadithi 20 Zinazopatikana Katika Qur’an na Vitabu vya Apokrifa

Kwanza nitoe utangulizi

Vitabu vya Apokrifa ni maandiko ya kale yanayohusiana na dini ya Kiyahudi na Ukristo, lakini havikujumuishwa katika Biblia rasmi kwa sababu mbalimbali. Wakristo wengi, hasa wa madhehebu ya Kiprotestanti, walivikataa kwa kuwa viliandikwa katika kipindi ambacho Mungu hakuwa akituma manabii (kipindi kinachoitwa Intertestamental Period au Silent Years – zaidi ya miaka 400 kabla ya ujio wa Yesu). Hata hivyo, baadhi ya madhehebu kama Wakatoliki na Waorthodoksi bado wanatambua baadhi ya vitabu vya Apokrifa.


Licha ya kutokubaliwa kama maandiko rasmi ya kiimani, vitabu hivi vina hadithi nyingi zinazofanana na zile zilizomo katika Qur’an, ambayo iliteremshwa karne kadhaa baadaye. Zifuatazo ni hadithi 20 zilizopo katika Qur’an na zinapatikana pia katika vitabu vya Apokrifa, pamoja na mwaka wa kushuka kwa Aya za Qur’an na mwaka wa uandishi wa vitabu vya Apokrifa.



Hizi ni baadhi ya Hadithi ambazo Muhammad alisimuliwa na wayahudi na wakristo wa apokrifa akazicgukua na unazikuta ndani ya Qur’an ,Leo


  1. Yesu (Isa) kutengeneza ndege kwa udongo na kumpa uhai
    Qur’an
    : Surah Al-Ma’idah (5:110) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
    Apokrifa: Infancy Gospel of Thomas (karne ya 2 CE, takriban mwaka 140 CE)
  2. Uzazi wa Bikira Mariamu (Maryam) bila kuguswa na mwanamume
    Qur’an
    : Surah Maryam (19:16-22) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
    Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)
  3. Yesu kuzungumza akiwa bado mtoto mchanga
    Qur’an
    : Surah Maryam (19:29-30) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
    Apokrifa: Arabic Infancy Gospel (karne ya 6 CE, takriban mwaka 570 CE)
  4. Hadithi ya Mtume Idris (Henoko) kupaa mbinguni
    Qur’an
    : Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
    Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)
  5. Hadithi ya Mtume Nuhu na gharika kuu
    Qur’an
    : Surah Hud (11:36-48) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
    Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)
  6. Hadithi ya Mtume Suleiman (Solomon) na majini
    Qur’an
    : Surah An-Naml (27:17-19) – Iliteremka takriban mwaka 616 CE
    Apokrifa: Testament of Solomon (karne ya 1-3 CE, takriban mwaka 100-300 CE)
  7. Hadithi ya Kijana wa Maajabu (Ashabul Kahf – Watu wa Pangoni)
    Qur’an
    : Surah Al-Kahf (18:9-26) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
    Apokrifa: Seven Sleepers of Ephesus (karne ya 5 CE, takriban mwaka 450 CE)
  8. Kifo cha Nabii Zakariya na namna alivyouawa
    Qur’an
    : Surah Al-An’am (6:85) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
    Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)
  9. Hadithi ya Harut na Marut – Malaika waliokuja duniani kujaribiwa
    Qur’an
    : Surah Al-Baqarah (2:102) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
    Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)
  10. Malaika wakimfundisha Nabii Henoko hekima za mbinguni
    Qur’an
    : Surah Maryam (19:56-57) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
    Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)
  11. Hadithi ya Dhu’l-Qarnayn (Mtawala wa Mashariki na Magharibi)
    Qur’an
    : Surah Al-Kahf (18:83-98) – Iliteremka takriban mwaka 620 CE
    Apokrifa: Alexander Romance (karne ya 3 CE, takriban mwaka 300 CE)
  12. Nabii Abraham (Ibrahim) kuvunjavunja masanamu ya mji wake
    Qur’an
    : Surah Al-Anbiya (21:51-70) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
    Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)
  13. Nabii Musa na Samiri – Mchawi aliyewapotosha Waisraeli
    Qur’an
    : Surah Taha (20:85-97) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
    Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
  14. Nabii Yahya (Yohana Mbatizaji) alivyowekwa wakfu tangu utotoni
    Qur’an
    : Surah Maryam (19:12-15) – Iliteremka takriban mwaka 615 CE
    Apokrifa: Protoevangelium of James (karne ya 2 CE, takriban mwaka 150 CE)
  15. Kifo cha Kaini baada ya kumuua Abeli
    Qur’an
    : Surah Al-Ma’idah (5:27-31) – Iliteremka takriban mwaka 631 CE
    Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)
  16. Hadithi ya Adamu na Hawa kuanguka kutoka Peponi
    Qur’an
    : Surah Al-Baqarah (2:30-38) – Iliteremka takriban mwaka 623 CE
    Apokrifa: Apocalypse of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 50-100 CE)
  17. Nabii Lut na miji ya Sodom na Gomora
    Qur’an
    : Surah Hud (11:77-83) – Iliteremka takriban mwaka 621 CE
    Apokrifa: Book of Jubilees (karne ya 2 BCE, takriban mwaka 150 BCE)
  18. Mikaeli na Shetani wakigombania mwili wa Musa
    Qur’an
    : Haijatajwa moja kwa moja
    Apokrifa: Assumption of Moses (karne ya 1 CE, takriban mwaka 100 CE)
  19. Uzima wa Milele kwa Wateule wa Mungu
    Qur’an
    : Surah Al-Waqi’ah (56:10-40) – Iliteremka takriban mwaka 622 CE
    Apokrifa: Book of Enoch (karne ya 3 BCE, takriban mwaka 300 BCE)
Achana na hayo maadisi YESU atakulaani kama Hamas
 
Maswali yote hayana mantiki kwa sababu ,Mtumw alivumbuliwa miongoni mwa makabila ya waarabu ,enzi ya ujahili ( ujinga yaani kukosa elimu) ...Mtume alipata utume akiwa Mkubwa na ilishatabiriwa ndiyo maana hata alipotokq sehemu kwenda nyingine alipokelewa kwa vile taarifa zilishafika .

Alipingww vikali na watu wa karibu yake , mmoja wapo ni mjomba wake Abuu lahab(baba wa moto ) sio jina lake halisi.

Elimu kuhusu Zama ambazo kazaliwa mtume ,mbona issah na Daudi au Mussa hawakuwa zama moja?

Enzi za ujahili hata wazazi wake walikuwa majahili ,kumbuka uislamu hauwezi kuhukumu mtu mpaka ujumbe wa Mungu uwafikie ,wametumwa mitume ili kufika ujumbe .

Ukisoma tu suratul Iqra basi 🤣🤣inajitosheleza na Qur an nzima Mungu amejitambulisha ..Utaona kuna maneno '' Mungu anaseme'' yapo mengine mbalimbali .


Hija pale Meccah ndiyo uthibitisho kwamba uislamu Ulikuwepo ,rejea jeshi la ndovu lilitoka kuvunja kaaba ,mali ile iliachwa na manabii waliopita ambao ni Waislamu... Katika zama zile walikosa elimu (ujahili) basi wakawa wanatumi lile eneo kufanya ushirikina yaani kulikuwa na masanamu ...Ila Mtume alipewa wahyi wa kwenda kufanya hija na ile sehemu ni mali ya waislamu ... Mwishoe yale masanamu yaliondolewa na mila zote zikaondok mji ule ni wa waislamu kutoka na Kaabah .
Hujajibu swali hata moja. Nasubiri majibu
 
Nasi"
[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. "Nasi" tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

(AL - JINN - 12)
"Nasi" tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

[ AL - MAA'RIJ - 40 ]
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza

Mkishashiba futari mje kutuambia..hawa wakina nasi ni wakina nani?
 
Uislamu Ulikuwepo tangu kuumbwa kwa dunia , Muhamad (P.B.U.H) ameshushiwa wahyi hakuna anajua chochote ...Hapakuwa na biblia wale uwezo wa kupata nakala za nyuma kabla yake

Muhamad (P.B.U.H) anakuwa ni Mtume bora kwa kuweza kupewa elimu ya vilivyopita kabla yake yeye ...Qur an imekamilisha dini na haina shaka ndani yake.
Ujingani nini?
Kusema uislam ulikuwepo kabla ya mtumeni kumdogosha mtume kuwa sio muasisi wa uislamu
 
Waraq alikuwa mmoja wa wasomi kipindi hicho

Na alipofariki Muhammad alitaka kujiua maana ndiye alikuwa anampa hizo stori
na aya hii alipewa na waraq?
 

Attachments

  • Screenshot_20250329-203936.png
    Screenshot_20250329-203936.png
    54.2 KB · Views: 20
Waraq alikuwa mmoja wa wasomi kipindi hicho

Na alipofariki Muhammad alitaka kujiua maana ndiye alikuwa anampa hizo stori
Waraq ibn Nawfal alikuwa ni binamu wa mke wa mtume SAW Khadija....

Kwa hiyo Waraq alishindwa kuwafundisha hayo ndugu zake kina Khadijah na makureishi juu ya hivyo vitabu ilihali wako waliojua kusoma na kuandika kuliko Mtume Muhammad?
 
Nimejibu yote ,wewe unaweza kuniambia Mama yake yesu alikuwa Mkristo ? Zama alizokuj yesu alikuta watu wanafuata dini gani?

Yesu alimkuta Daud, nimekujibu maswali yote kwa vile hayana logic.
Jibu maswali yangu ndipo uulize yako. Au kama unamaswali uliza nitakujibu. Vinginevyo jibu maswali yangu wacha kukimbia
 
Ujingani nini?
Kusema uislam ulikuwepo kabla ya mtumeni kumdogosha mtume kuwa sio muasisi wa uislamu
Sio ujinga sema unaumia 🤣🤣🤣🤣 Uislamu Ulikuwepo tangu dunia inaumbwa ... Ukristo na Mungu wenu hata hamjui Musa kwa sababu Musa alikuwepo kabla ya kuzaliwa Mungu wenu🤣
 
Back
Top Bottom