Haya madude wanaficha wapi?wanachapwa sana ila hayaishi, us na israel wakitaka ushindi wapige wamalize hivyo virushia makombora, hapo Iran watasalimu amr la sivyo sion wanamaliza vipi hii vita
We ni akili kubwa nimekubali, irudi kutoka wapi? Watu wanakosea sana umejenga kwa Milioni 100, 2010
We ni akili kubwa nimekubali, ni njia salama ya kuhifadh pesa yako,kama umejenga kwa M100, 2010,pesa yoyote unayopokea kuanzia hapo ni faida kwa sababu 2020 ukiuza utapata M200,pesa yako si imerud?
No 3 ya msamaha inaweza kua kweli , kwao kuna maisha magumu na alikataa kabisa kurudi kwao ilibid nitumie nguvu ila baba ake alimkataa akasema sheria nikae nae mpk mda wa uangalizi upite so tulienda kwao ikabid tugeuze nia yangu ilikua nimtupe huko miez 6 ajue uchungu wa kutafuta pesa ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.