Recent content by Boli linatembea

  1. B

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Haya madude wanaficha wapi?wanachapwa sana ila hayaishi, us na israel wakitaka ushindi wapige wamalize hivyo virushia makombora, hapo Iran watasalimu amr la sivyo sion wanamaliza vipi hii vita
  2. B

    Nchi ambazo ukiweza kujitegemea basi unaweza kusurvive popote duniani

    Huu ni ukweli mtupu...hao Wananch ni balaa kwenye kusaka pesa na yana akili acha kabisa.
  3. B

    Je, Tanzania imefuzu 16 bora AFCON kama best looser?

    Gabon akishinda kesho itakuwaje?
  4. B

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa salamu za Krismas kwa Wakristo wote!!

    Netanyahu kawaonya pia Nigeria, hayo magaidi sio muda yatafikiwa bumbavu!!
  5. B

    Vijana, Kama Uwezo Upo Jengeni Nyumba za Kupangisha

    We ni akili kubwa nimekubali, irudi kutoka wapi? Watu wanakosea sana umejenga kwa Milioni 100, 2010 We ni akili kubwa nimekubali, ni njia salama ya kuhifadh pesa yako,kama umejenga kwa M100, 2010,pesa yoyote unayopokea kuanzia hapo ni faida kwa sababu 2020 ukiuza utapata M200,pesa yako si imerud?
  6. B

    Huu ni ugonjwa gani? Maana dawa zote zimedunda

    Nenda Ekenywa Magomeni pale kuna wataalamu hasa
  7. B

    Nimefanya kosa kubwa Sana, Siri yangu ya muda mrefu imefichuka

    Bado password tu, na ujiandae kuwekewa sumu ya panya ufe taratibu abaki na hizo pesa.
  8. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    No 3 ya msamaha inaweza kua kweli , kwao kuna maisha magumu na alikataa kabisa kurudi kwao ilibid nitumie nguvu ila baba ake alimkataa akasema sheria nikae nae mpk mda wa uangalizi upite so tulienda kwao ikabid tugeuze nia yangu ilikua nimtupe huko miez 6 ajue uchungu wa kutafuta pesa ndo...
  9. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Hii stori ni ya kweli, huo wote ni mtiririko wa matukio yake niliyoyahisi kabla sijaambiwa......kuna siku inaweza kukutokea wewe ndo utajua
  10. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Sababu habari ipo kwa kiswahili.
  11. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    No mimi sikukuta mtu, usiombe inauma.
  12. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Hii ni stori yangu kabisa si kila kitu ni mzaha inaweza kukutokea na wewe siku moja.
  13. B

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Ooooh pesa yako tu....mwanamke yoyote muhindi, muarab,mzungu n.k chaguo lako
Back
Top Bottom