Ishara ya kukosa Vision. Kwa maoni yangu alipaswa kuzungumzia atakisaidia vipi chama alichojiunga nacho hasa katika yale ambayo akiwa upinzani aliamini ni mapungufu makubwa.
Hawa wanaohama kwa kigezo cha kuridhishwa na utendaji sijui blah blah blah inawezekana kabisa ukawatekelezea majukum ndani ya ndoa zao na wakahamia kwako vilevile kuunga mkono jitihada zako. Non sense!
Tunapoelekea ni kutambuana na kuheshimiana kivyama. Kunyoosheana vidole yule ni CCM na yule ni upinzani. Kupendana na kujaaliana kivyama. Mkuu wa nchi tunaomba tusifike huko.
Ni wakati sasa watanzania kufunguka macho na akili kuweza kutambua nani ni nani. Kwa haya yanayoendelea kujitokeza kwa sasa hayahitaji elimu ya chuo kikuu. Kumtambua mnafiki, mfitini hakuitaji elimu bali uwezo ambao mwenyezi Mungu alikuumba nao. Uwezo wa kujua jema na baya (Intellect). Maamuzi...
Alikuwa rafiki wa clauz wakasema amevamia hawataki kushirikiana nao kahamia kwingine atatenda kosa lingine mtasema mengine unafiki wa watanzania ni mkubwa kuliko akili wanazo tumia kujitafutia mkate wa kila siku
Usisahau vile vile akiwa rafiki wa Clouds alimtuhumu mmiliki wa E FM/TV ni muuza...
"The challenge of leadership is to be strong, but not rude; be kind, but not weak; be bold, but not bully; be thoughtful, but not lazy; be humble, but not timid; be proud, but not arrogant; have humor, but without folly." - Jim Rohn
"Kwakuwa mmekuwa madarakani tangu kuanzishwa kwenu mwaka 1977, hamuwezi kusema kuna mahali kuna majizi mengi kuliko nyinyi kwakuwa mko wengi".
Hapa ni kama umekubaliana na hoja ya Nyalandu kwamba "CCM imeshindwa kuisimamia dola" au siyo Bw. Mselewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.