Lakini habari halisi ambazo JPM kumtoa Mkinga Sanga kwenye ofisi kutoka vyanzo vya habari halisi ni kwamba huyu ameamua kuongeza mishahara ya watumishi wa PSSSF mipya pasipo kibali kutoka serikali kuu ndo maana JPM akaona huyu jamaa ni mshenzi na mpumbavu ananicheza sio tumbu!
Najua JPM anasafisha harufu za Lowassa, kwani Sanga alikuwa Lapf na Mmasai Lowassa ndiye aliteua huyu alipotoka NSSF na kupata Post ya LAPF na hapa JPM akasahau kuwa Sanga ni product ya Lowassa ndo akampa PSSSF lakini akakukumbuka kuwa hata Irene Isaka (ex SSRA CEO) pia alikuwa shemeji kwa mke...
Huo ndiyo uhalisia!
Nchi lazima ifike mahala iheshimu uhuru wa kila kitu sio kutumia dola kubana uhuru basi uhuru tulioupata mwaka 1961 utakuwa hauna maana. We better allow rule of law operates in the country without discrimination according to the Constitution. Challenges must be faced and...
Lakini Wa-Tz bwana huyu Musiba ndiye atuambie hizi habari za Intelligentsia ameziapata wapi kwa kutumia gazeti lake la Tanzanite mimi ninge kuwa Prof. Bashiru ningeanza na Domo kaya Mzee wa kutunga mineno Musiba Msiba mtarajiwa??
Kweli Tanzania tunao wataalamu wa Kodi na huyu CEO Kichere ni BCom (Acc) holder sasa hiyo post imemvaa yaani ni maji shingo kwa kusema ukweli sijui hata vetting kama ilifanyika kwa uteuzi wake sasa ndio faida ya Utemi wa JPM. Comparative analysis sijui alizipata wapi na sijui kitengo cha...
Ni kweli nashangaa Prof. Ruta ambaye ni mshauri wa uchumi wa Magu kuwa nchi inapotea ktk ramani ya uchumi wa tatu na kuwa fourth world au hakuna kabisa!
Hapana huyu anaitwa William Erio alikuwa PPF Kama DG na ndie alikuwa anapata 500 mil na ambaye ni mjomba wa Ben Mkapa. Upofu na propaganda zilianzia PPRA kuwa NSSF wanamefanya manunuzi bila kufuata sheria kupitia kwa Mwenyekiti wake Mzee Lumbanga ambaye alikuwa Katibu Kiongozi wa Mkapa Ikulu...
Huo mradi kiwanda cha sukari na kulima miwa umefanywa pamoja kati ya PPF na NSSF. Na mwisho wake ni huo alafu Magu ni kigeugeu sana kwani aliwahi kusema PPF majengo yao ya Arusha yamepangishwa below 20% sasa leo hii tena anamteua mjomba mjomba wa Ben je hiyo ni Good Governance? au Nepotism?
Huyu Prof Ex DG wa NSSF alikosea sana kumuweka karibu na kufanya mradi wa pamoja wa Sukari kule Morogoro na hakujua lengo la Erio ilikuwa ni kupeleka umbea kwa uncle Ben na alafu Magu kupewa umbeya ambao umemgharimu Prof Kahyarara. Alafu kweli vetting Tz ni kichekesho kweli kwani W Erio...
DC, Hashimu bado ni mbishi ana kiburi sana kwani bado haya makatapila yapo sites na yanachimba kokoto na kusafirishwa na malori usiku Rais JPM, RC and NEMC mnafanya nini na haya madudu ya DC na Diwani wa Gezaulole????
Sina shaka Rc Makonda atakuwa na majibu mazuri kutoka kwa Dc Mgandilwa kuwa kwann uchimbaji wa kokoto yaani dhahabu kutu unaendelea wakati zuio la kuwa hayo sio machimbo ni makazi (settlements)!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.