celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,331
- 1,059
No mkuu hoja ni kufanya mambo kiuendawazimu halafu mengi yanakuwa hayana tija mwisho unaanza upya na bado yanakuwa hayana tija,Hoja yako ni nini hapa? Na wewe umeamua kupayuka?
Lazima mtu utulie kabla ya kufanya maamuzi, maamuzi ya kukurupuka yana madhara tele.iko siku utaungana nami kupiga vita ukurupukaji ila itakuwa too late maana gharika litakuwa limeifunika nchi tayari.