Inategemea na malengo yako kwa mfano kuna watu wanatoka mikoani wanakuja dar kutafuta maisha kuna wengine wanafanikiwa na kuna wengine wanarudi mikoani wakilalamika Inategemea na unavyojituma..
Hahahaa yaani ccm imekua ya akina wema sepetu na kusomba vichaa kwenda kwenye mikutano yao na wenye akili ni lazima wajitoe ufahamu kwa kunywa viroba ili wahidhurie mikutano ya ccm.. Chama kimekufa
Kusema kweli ni ngumu sana kwa wao kupata hizo kura hata milioni 2 tu kwa sababu pale BOT, NSSF, NHIF bado hazifiki pale wafanyakazi wote ni kama 700 tu.. Wanajaribu na za walimu mwaka huu wajiandae tu kuachia kiti.. MABADILIKO
Tunamlaumu JK kwa sababu maisha bora aliyaahidi imekua kinyume.. Tunamshangaa magufuli anavyojitoa ccm wakati aliapa kuisimamia ilani ya ccm na kuilinda na tunaamini katika mabadiliko kwa sababu ccm imeishiwa pumzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.