Tukio limetokea nyanda yenye wachaga wengi halafu wewe unataka kuwe na 90% ya wanyakyusa? Kabla hujatoa takwim zako fikiria mazingira ya tukio kwanzasio unaropoka tu!! 90% are chagas unataka wawe wa Ngoni?
Nyie achen akili za watu wa moro mnazijua lakini? Kuliko amka ni safuu hii ya Kihonda ambako wakazi wengi sio wazawa wa mkoa huo. Ila kungine huko ni nyaaaaa tupuuuuu. hovyo hovyo wakipea shi mia tano tuu basi wanaanza kuabudu waliyowapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.