Recent content by BobT

  1. BobT

    Hukumu ya Segerea Watanzania tumejifunza nini?

    Nilikuwa na angalia taarifa ya habari jana "HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI" Majaji Kenya walio tuma maombi ya kazi hiyo walikuwa wanafanyiwa usaili. Hivi ndivyo inavyo takiwa na Tanzania. Mungu atusaidie Katiba mpya mambo haya yabadilike. Hakuna watu wa tasinia ya sheria kuteuliwa.
  2. BobT

    Mgomo wa Madaktari na wanaharakati wetu

    [/COLOR]Mimi wewe sijakuelewa kabisa! Raisi alisema wana harakati waliwachochea Drs wagome ili wauwe watu. Wewe unasema wana harakati walisubiri Drs wagome ndipo wakaibuka na kusema. Wana harakati wangeibuka na kusema kabla ya madakitari kugoma na kisha hao Drs wakagoma Wangelaumiwa sana na...
  3. BobT

    Lowassa, Malecela na Sitta kunyimwa nishani maana yake nini?

    (Texit with colr) EL hana maadili mema maana hata baada ya kujihuzuru hakutkiwa kujitete alitakiwa atulie hata kama wangemtangaza dunia nzima kuwa ni fisadi, sasa yeye kakosea kamuwasha mkuu wa kaya mbele ya wakuu wa magamba. Samwel 6 alikosa maadili kwa kuruhusu maovu ya serikali ya magamba...
  4. BobT

    Bashiru Ally: Rebirth of Chachage?

    Bashiru namfahamu vizuri tumesoma naye Kilosa Agricutural secondary school, almaalufu "KIZUNGUZI" anajua kupanga hoja kweli ila tatizo lake 80% huwa hana msimamo na haeleweki, vinginevyo he is a goodman
  5. BobT

    Pendekezo: Katibu wa Bunge ajiuzulu kwa kupotosha taifa

    Yeye anajua kabisa serikali yake ya chama TWAWALA haiwezi kumfanya chochote, sana sana utasikia waandishi wa habari wamepotosha uma
  6. BobT

    CHADEMA kutoa msimamo mzito leo; Ni baada ya rais kusaini muswada wa upatikanaji wa katiba mpya

    Jamani someni mwanahalisi maneno aliyo sema ****** kuwa, hawezi kuacha kusaini huo mswada maana chama chake hakitamuelewa (EL kammaliza ). Lazima mtambue kuwa huyu jamaa hana tabia yakusoma vitu, kumbukeni kipindi anasaini sheria ya matumizi ya uchaguzi alisaini kwa mbwebwe kumbe wamemuingiza...
  7. BobT

    Maandamano kupinga ujio wa Prince Charles

    Lakini uyo naye si mu UK
  8. BobT

    Nape kushtakiwa kwa JK kwa matusi Mwanza

    Hivi huyu jamaa si ndiye aliyesema Tanzanai ni ya mali ya magamba!! (Hili ni tusi kubwa sana kwa watanzania)
  9. BobT

    Dr. Mwakyembe yuko fit sasa.....?

    Get better soon Dr. God is Good
  10. BobT

    Nape, Lusinde walichokuta Mwanza kimewatosha

    Hawa jamaa wamechanganyikiwa! Mfa maji .....................
  11. BobT

    Mwakyembe mgonjwa afya yake yadorora; ngozi yavimba mwili mzima. Yadaiwa alitegeshewa sumu

    AFYA ya Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe, ni tete baada ya kuugua ugonjwa uliomsababisha kuvimba mwili wote.Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na yeye mwenyewe zinaeleza kuwa, alianza kuwashwa ngozi miezi mitatu iliyopita kabla ya hali kubadilika siku za karibuni na hatimaye...
Back
Top Bottom