Habarini wanajamvi .... Kimsingi nimekuja na Jiwe moja hivi la Msemaji wa Serikali kuhusu taarifa zilizotolewa na Ubalozi nchini Ujerumani kuhusiana na swala la Tundu Lissu kubwabwaja Ujerumani. Mnaonaje hii ishu??????????
Huchelewi kusikia sasa hv eti kuna wafanya biashara wamejitokeza kwa ajili ya kununua mahindi .... na walanguzi kutokea kwenda kununua kwa wananchi ili wawauzie serikali ndio maana Raisi ameweka jeshi kwenye korosho..!!
TAHADHARI!TAHADHARI!
WIZI WA DAWA
Ndugu wananchi, kumekuwapo na wizi mkubwa wa dawa za wagonjwa katika madirisha ya kuchukuliwa dawa hospitalini, wizi huu unafanywa na watoa dawa hasa kwa wagonjwa wanaotumia bima za afya, watoa dawa hawa huwa hawawapatii wagonjwa dawa zote ambazo anakuwa...
MONEY LAUNDERS WENGI WAMEKUWA WAKITUMIA MADUKA YA KUBADILISHA FEDHA KUTAKATISHA PESA ZAO NA WABADILISHAJI FEDHA WENGI HAWAFATI SHERIA KWA MFANO KUSCAN PASSPORT KWA KIASI KIKUBWA CHA PESA KUBADILISHA NA KADHALIKA SO SISHANGAI TATIZO SHERIA ZIKISIMAMIWA WATU WANAKUJA JUU NCHI GANI INAYOENDA BILA...
Sasa Ngalanga, kuita wanachama wote the first impression nilitegemea iwe mlimani city labda kuna agenda za mwaka mzima na mpango mkakati wa mwaka ujao, kweli katibu anasema wanachama wote waje mahakamani, aisee kimsingi imenisikitisha sana!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.