Recent content by Bob Dylan

  1. Bob Dylan

    Naomba kujifunza namna ya kutengeneza proposal ya kuanzisha kampuni ya utalii

    Suka dread locks, ongea ongea vingereza vingi, nenda kahangout sehemu zenye watasha kamata wakwako mmoja mpe tour around the town/city you are in halafu kaa kitaalam tu uje na idea yako ya tour company umueleze utakua umemaliza hiyo manenoz haina haja aya kukaa na kuandika proporsal mkuu...
  2. Bob Dylan

    PreGE2025 Makonda aanzisha mchezo wa mashindano ya pikipiki Arusha

    Hii michezo ilikuwepo miaka mingi kabla hajaja aisee wacheni uongo, lakilaki pale kila j2 kinawashwa, kipindi hiyo ya kina baba dee na mbung'o kwani makonda alikuwepo aisee hii mambo ipo zamani mpaka kina pea wameshastaafu sasa mnasema makonda aisee
  3. Bob Dylan

    Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

    Swali rahisi sana hili, sisi wachaga tunajenga vijijini kwetu, nenda machame, marangu, rombo ushangae mwenyewe. Hapo mjini tumewaachia mtuone maskini, lakini maendeleo makubwa tumeyafanya vijijini kwetu humo. Ukifika lazima ushangae. Hapo mjini tunakujaga kuzuga tu ndio maana tumepaacha hivyo na...
  4. Bob Dylan

    Mtaani kwetu leo nyumba ya kwanza kuna harusi ya mapacha, nyumba inayofuata kuna 40 ya msiba

    Pana 40 halafu alifariki jana usiku ? mkuu mbna hueleweki ?? kama alifariki jana usiku hiyo 40 inatokea wapi sasa ?
  5. Bob Dylan

    Precision Air Sasa Ni Kama Dala Dala?!. Ndege Yasubiri Abiria Uwanjani!.

    Sawa mkuu wewe unauelewa mkubwa wa mambo hayo, wacha nitulie nisitafute njaa bure hapa.
  6. Bob Dylan

    Precision Air Sasa Ni Kama Dala Dala?!. Ndege Yasubiri Abiria Uwanjani!.

    Unaonekana unapanda ndege sana lakini bado unachukulia kwamba ndege ni kitu cha tofauti sana mkuu, kusubiriwa ni kawaida inategemea tu huyo aliesubiriwa ni nani 15 min mbna ni dakika chache sana mkuu mpaka umeandika uzi wote huu na historia ndeefuuu, shusha sukari kidogo na uache kuchafua...
  7. Bob Dylan

    Ukienda sheli usiseme weka full tank unaitwa mwambie hivi

    Sisi wenye vipumbu/vidumu/vigari vidogo watatuibiaje sasa, tank yenyewe full ni lita 35 na siku nikiweka full ninahakikisha nipo hapo mpaka kieleweke
  8. Bob Dylan

    Ukienda sheli usiseme weka full tank unaitwa mwambie hivi

    Hii itakua ni Howo au Scania mkuu
  9. Bob Dylan

    Kuna michepuko ni takataka kabisa

    Wewe tulia na mke wako wacha kuhangaika mzee, maisha hayataki mbwembwe ......... siunaona unavyoteseka sasa kuja kutuletea uzi wa umbea wa kugombana na mchepuko wako, hii ni kwasababu huwezi hata waeleza washkaji wakakuelewa. Chamsingi we tulia tu na mama na utapata baraka mingi balaa
  10. Bob Dylan

    Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

    Wewe kaa usubiri ifike miaka kumi na mbili halafu ujitwalie, akija unamuambia kua ni yakwako kwasababu muda wote huo hakujitokeza, under adverse possesion unaweza kuimiliki kama miaka kumi na mbili imepita na umekua ukiishi hapo bila ya mwenye eneo kuja kulidai.
  11. Bob Dylan

    DOKEZO Kijiji cha Kazuramimba (Uvinza, Kigoma): Mauaji yaliyofanywa 4/10/2023 ninayekemea kwa nguvu zote, Majeruhi wako wapi?

    Wamevamia polisi ni haki ya polisi kuwashughulikia, unadhani wangeingia ndani ya kituo na kuchukua silaha za moto si ingekua vita. Mimi nawatetea ndugu zangu askari polisi wamejilinda kwa weledi na kuhakikisha kituo hakiingiliwi na sila haziibiwi.
  12. Bob Dylan

    Dah! Warembo wa mjini, hivi 'vitilapia' nyie huwa hamjisikii?

    Mkuu anamapenzi aisee, ametoka pori na kiraru na ameanza nyonya nyonya
  13. Bob Dylan

    Dah! Warembo wa mjini, hivi 'vitilapia' nyie huwa hamjisikii?

    Mkuu hatakama ulivaa ndom kwaushauri kunywa Azuma tu mapemaa
  14. Bob Dylan

    Usipende kuiga biashara ya matajiri...Kwasababu kinachowatajirisha sio hiyo biashara unayoona!

    Kwani katika matajiri Fred nae ni mmoja wapo ? bado hajawa tajiri bana ...... anahela tu za kubadilisha gari na chakula mkuu.
  15. Bob Dylan

    Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

    Wacha uoga matola, mm naona umeandika hapo DR na PHD nkajua unajua aisee kumbe hamna kitu. picha za mtu anaepiga na magari hivyo ndio inamaanisha anatoa kafara ?? wengine nimadalali aisee kila akiamka andinga mpya anaizungusha anataftia mteja wewe utakaa hapo na umaskini wako na kuwaza wenzio...
Back
Top Bottom