Recent content by Bob bravo

  1. Bob bravo

    Kutoka Morogoro: Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Rais hata kutoa hotuba hajui atawakilisha nini medani za kimataifa , au ndio elimu elimu elimu, hata kuzunguka kuona anao ongea nao hawezi ,kaaaaaaazi kweli kweli # Hapa Kazi Tu
  2. Bob bravo

    Kutoka Morogoro: Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Wataisoma namba mwaka huu Magufuli mpaka ikulu
  3. Bob bravo

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Hope naona Lowasa atakuwa waziri mkuu tena Duuuuuu
  4. Bob bravo

    CCM wametushika pabaya

    Jamani sasa si mfunguke tuu kuwa October 25 kura kwa Nani Kati ya hayo majembe mawili?
  5. Bob bravo

    Askofu Gwajima kumjibu Dr. Slaa siku ya Jumanne - Septemba 8, 2015

    Patachimbika mwaka huu mpaka kieleweke oct 25 Team Lowasa & Team Magufuli.
  6. Bob bravo

    Lissu amepata wapi ujasiri wa kumshambulia Dr. Slaa na familia yake?

    Kaazi kweli kweli mwaka huu , mi napita tu kwa hola za magufuli na Lowasa
  7. Bob bravo

    Hizi siasa mwaka huu zitatuua

    Naona shughuli za uchumi zimeandikwa takribani 45% watu wanazungumzia siasa Je tutafika? Vipi matumaini tunayojipa iwapo tutafeli nini kitatokea? Tafakari iwapo Lowasa ataingia ikulu ama hatofanikiwa nini kitatokea , Wapi nafasi ya Rais mstaafu Iwapo inchi ataiweka mikono I mwa wapinzani? Tafakari
  8. Bob bravo

    Tutembelee Hifadhi ya Taifa ya ngorongoro

    Tunashukuru kaka japo watz ni wazito kuelewa lkn zidisheni kutoa elimu ipo Siku wataelewa na wataongeza pato la ndani , hao ni ma bingwa wa kulalamikia mi undo mbinu lkn hawataki kuchangia pato la ndani lkn kwa Kuwa sio Siri Kwenda kwenye hifadhi basi hata gharama ni vema zikawa wazi coz si...
  9. Bob bravo

    Heslb second around

    Mkuu tumekusikia tukifanikiwa tutakujuza usijali sote tu wahanga na janga la mikopo, more stress upon us, mungu awabaliki nyote mlioomba mkopo.kama ni mmoja wa wenye kusubili Sema Ameen, your Ameen is very powerfull to our creator.
  10. Bob bravo

    Nifanyeje nipate gpa nzuri

    Nadhani hapo ndipo alipopataka, Kazi kwake GPA haipatikani kwa kushauriwa tu , Bali ukipata ushauri ufanye kwa vitendo , out of that ni karai mwanzo mwisho, mbili na wewe wewe na mbili ,tafakari na chukua hatua
  11. Bob bravo

    Hakuna kufeli hapa ni kutiririka tu

    Je kwa wale waliomaliza miaka ya nyuma kabla Sheria hii kupitishwa ya matokeo na division zao watabadilishiwa au inchi moja na aina ya vyeti na ufaulu tofauti? Mfano mwaka 2000 nilipata division three ya point 23' kupitia mabadiliko natakiwa nisomeke dision two Je hili wadau litakuwaje hapo?
  12. Bob bravo

    Dr. Sengondo Mvungi avamiwa na kujeruhiwa usiku wa manane!

    Inchi hii haijali hazina ya watu , inadhani kuwepo kwao ni kero kwa maslahi Yao ni mda gani kupata level na uzoefu wake akitoweka ghafla? Tuwatunze hazina hizi ni muhimu kwa faida ya kizazi kijacho na kilichopo .Mungu akupe unafuu upone haraka pole Dk tupo pamoja nawe.
  13. Bob bravo

    Ubora wa chuo cha kampala international university (kiu) dar es salaam

    Hamjampa jibu la yakini, mpeni sifa au kutokuwa na sifa kwa chuo cha kiu, mdau kasome kwa ngazi ya Degree nenda kiu au tafuta prospectors yake uone courses zao, kwa ngazi ya Degree Kama si bora TCU wasingepeleka watanzania pale, msikulupuke kutoa hoja za kukatisha tamaa,st degree hata taasisi ya...
  14. Bob bravo

    Mwenyekiti wa CHADEMA Arusha, Samson Mwigamba asimamishwa uongozi, baada ya kukiri kusema uongo

    Ni makosa kujadili chama kingine wakati mkosaji na wakosoaji wapo CHADEMA ,hivi mpaka anapata nafasi ya juu kiasi hicho hakujulikana Kama ni msaliti au ndio kuongeza makundi ndani ya chama? Tu naelekea pabaya kwa uoni wangu atatughalimu huyu jamaa.
Back
Top Bottom