Siasa hizi zitatuua Tanzania. Haya yote yako ndani ya uwezo wako mkuu. wewe ndio dereva... Sisi abiria hatutaki ngonjera, tumekupa miaka mitano hivyo huna haja ya kutupa maneno mazuri kama bado tuko kwenye kampeni. Tunataka kuona vitendo tu. Mzee kodi utazipata tu ila si unajua kodi inalipwa...
Huyu mwenzangu njaa itamuua. Unajua ukiingia kwenye siasa na kubahatisha kupata cheo kikubwa kuliko uwezo wako, wakati huo huo ukashindwa kufikiria 'exit route' by the time uko madarakani mwisho wake ni kutia aibu tu kama huyu port wangu. Jamaa ana njaa balaa nyie acheni tu... kachoka kachoka...
Waislamu 13 tu kati ya hao 31... 17 woote ni wakristu.... Duuh kweli CCM tumeingiliwa na ubaguzi awamu hii. Mpaka miaka hii, nchi itakuwa imejaa wateule wakristu watupu tu
Mtu anayetumia cheti cha mtu mwingine awe hai au amekufa anatenda kosa la kughushi nyaraka kwa mujibu wa Kifungu cha 371 cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 Toleo la 2002] ya sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na adhabu yake ni kifungo cha miaka saba (7) jela bila faini kwa mujibu wa...
Pilipili iko shamba, wewe yakuwashia nini? Kwa Taarifa yako Boniface Jacob ni kiongozi wa kitaifa kama mjumbe wa kamati kuu. Pia ni mwenyekiti wa chama mkoa wa Kinondoni. Pole sana
Hajawahi kuhudhuria vikao vya manispaa ya Temeke tangu mwezi wa 4, 2016, vikao vya kamati na mabaraza. Anatakiwa ajiuzuru ili tumpate diwani mwingine, ambaye anaipenda kata yake, Diwani ambaye anawapenda wananchi wake.
Aliyotumwa na nani? Kwa mujibu wa sheria ipi? Maana kwenye tume ya kudhibiti uuzaji, usafirishaji na utumiaji mbovu wa madawa ya kulevya, kwa mujibu wa sheria mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam hajatajwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.