CHADEMA wamdhalilisha Wema Sepetu

CHADEMA wamdhalilisha Wema Sepetu

Yaani hapa ndipo najiuliza, hivi wafuasi wa Wema wanajitamua kweli au ni misukule tu? Aunt Eekiel aliona mbali na akakimbia kubebeshwa pochi kila kukicha bila malipo yeyote kidogo mimba imchoropoke kutafuta kick toka kwa mbwia unga. Wema hafanyi lolote la maana hapa nchini na hajitambui tu, hawa misukule inayomfuata kwa kweli wanatia kinyaa.
 
NAWAZA TU:

Kuna vitu Nimeshindwa kuelewa kuhusu Wema Sepetu hivi mtu anayeonekana mashuhuri tena mwenye wafuasi Wengi,Kwanini press conference afanyie nyumbani kwao na siyo ofisi ya Chama walau hata mkoa?

Hivi kwanini mtu mwenye wafuasi Wengi Kama Wema Sepetu Kama ambavyo wafuasi wa chadema wanavyojinadi asipewe kadi hata na Naibu katibu mkuu wa Chama wala hata kuhudhuria shuguli na kumuachia meya?

Hata mwenyekiti wa Chama mkoa ameshindwa kuhudhuria Sherehe kumkabidhi kadi msanii mwenye wafuasi milioni mbili kama wafuasi wa chadema wanavyojinasibu?

Naona kama CHADEMA wamemdhalilisha Wema Sepetu Kwa kumtuma meya Ndiyo apokee kadi
Wema Sepetu Pamoja na umaarufu wako wote unakabidhiwa kadi na Diwani wa Kata?

Nikitazama Ili Ndiyo Naona kupotea kwa wema Sepetu ktk siasa inaonesha kuwa viongozi wakuu wa chadema hakumwamini wema Ndiyo maana wamejitenga naye.

Stay tuned
Na Frey Cosseny
Usishangae wamelishtukia kwani ukisikiliza baadhi audio ya Steve Nyerere wanatafuta namna ya kupiga mkwanja toka CCM kwa kutishia kuondoka CCM, hivyo CCM wanaweza kuwavuta wakarudi CCM kwa njaa waliyonayo kwani huko CDM sidhani kama wataambua chochote
 
Usishangae wamelishtukia kwani ukisikiliza baadhi audio ya Steve Nyerere wanatafuta namna ya kupiga mkwanja toka CCM kwa kutishia kuondoka CCM, hivyo CCM wanaweza kuwavuta wakarudi CCM kwa njaa waliyonayo kwani huko CDM sidhani kama wataambua chochote
Amelipwa milioni mia mbili
 
Wema anadai ccm kafanya nao biashara gani?
 
Haiendani na mtu mwenye wafuasi m 2 apokelewe na diwani. Sisi kwetu alikuwa mwanachama wa kawaida Sana. Kwenu ndio habari Ya mjini. Nawapa wiki mbili story za wema zitakuwa kwishiney. Watz tutakuwa na kitu kingine cha kuongelea.
Tutakuongelea wewe utakavyoenda kupimwa marinda na kingwangala
 
Kuwa na wafuasi wengi haumfanyi kuwa mkubwa pale CHADEMA kiasi kwamba kila mtu awepo wakati wa makabidhiano
 
Chadema wakikaa oficni vikao vya ndani mnawakamata,wakiwa hadharani mnawakamata,hamtaki c asa.ss kafanyia Haya kwao mmnasema ! Mlitaka yule mama akirudisha kadi ya ccm akiwa ofic za chadema mumkamate na kupekua ofic mkidai kapeleka unga wa mwanae kuficha oficni za Chadema? Kwenu jema lipi.Mara Wema co lolote,Mara hana athari,alipokua ccm mbona yote Haya hamkuyasema ? Jamani ccm mbona hamkaichini kutafakari mtakavyoitoa nchi hapo mlipo itosa,Mmebaki,kufikisha watu mahakamani kisa kamtaja raisi,/kaisema serikali,kamkosoa mtukufu sana.hamuoni Haya /aibu? Hizo ahadi za viwanda,elimu chee mtatimiza lini?mmejitosa kwe umbea na majungu yaliyowazidi kimo,hamjui mlianzia wapi,mshike lipi,mmebaki,mnahangaika huku na Kule !ya Chadema na wahamiaji wake cmuwaachie wenyewe? Mtafanya kazi ngapi,za ccm nyie za chadema nyie police nyie mahakama nyie c ndo maana mnarukwa wehu hamjui mnachofanya Mmebaki kukurupuka ktk kila jambo.bora hili lichama liuwawe tupumzike,
 
  • Thanks
Reactions: Ebe
Hivi katibu mkuu wa chadema mbona simsikii kbs? Sio kama makatibu wakuu waliopita kama dr slaa huyu jamaa utendaji wake wa kimyakimya au watu wengine wamemfunika?!
 
Haiendani na mtu mwenye wafuasi m 2 apokelewe na diwani. Sisi kwetu alikuwa mwanachama wa kawaida Sana. Kwenu ndio habari Ya mjini. Nawapa wiki mbili story za wema zitakuwa kwishiney. Watz tutakuwa na kitu kingine cha kuongelea.
Mmechokwa
 
Wafuasi 12M wa Wema sio lazima wote wawe shabiki wa chama anachokipenda kisiasa. Wengi wao ni wanawake ambao ndio mtaji wa wale jamaa wa mavazi ya kijani. Chadema ijipange isibwete na tukio hili lazima wajifunze kupitia umati ule wa babu Mamvi wakati wa kampeni na matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2015. Sio kila shabiki atawapa kura yake.
WALIIBA KURA
 
Kwani lazima utukane?? Kuwa muungwana!!
Leo ndiyo kuitwa mpumbavu unaona ni tusi?!

Mbona Rais Mstaafu Ben alituita watanzania wapumbavu na malofa na hatukukuona wakati ule ukimwambia Ben kuwa inakuwaje utuite waTz kuwa ni wapumbavu na malofa?
 
NAWAZA TU:

Kuna vitu Nimeshindwa kuelewa kuhusu Wema Sepetu hivi mtu anayeonekana mashuhuri tena mwenye wafuasi Wengi,Kwanini press conference afanyie nyumbani kwao na siyo ofisi ya Chama walau hata mkoa?

Hivi kwanini mtu mwenye wafuasi Wengi Kama Wema Sepetu Kama ambavyo wafuasi wa chadema wanavyojinadi asipewe kadi hata na Naibu katibu mkuu wa Chama wala hata kuhudhuria shuguli na kumuachia meya?

Hata mwenyekiti wa Chama mkoa ameshindwa kuhudhuria Sherehe kumkabidhi kadi msanii mwenye wafuasi milioni mbili kama wafuasi wa chadema wanavyojinasibu?

Naona kama CHADEMA wamemdhalilisha Wema Sepetu Kwa kumtuma meya Ndiyo apokee kadi
Wema Sepetu Pamoja na umaarufu wako wote unakabidhiwa kadi na Diwani wa Kata?

Nikitazama Ili Ndiyo Naona kupotea kwa wema Sepetu ktk siasa inaonesha kuwa viongozi wakuu wa chadema hakumwamini wema Ndiyo maana wamejitenga naye.

Stay tuned
Na Frey Cosseny
Pilipili iko shamba, wewe yakuwashia nini? Kwa Taarifa yako Boniface Jacob ni kiongozi wa kitaifa kama mjumbe wa kamati kuu. Pia ni mwenyekiti wa chama mkoa wa Kinondoni. Pole sana
 
Leo ndiyo kuitwa mpumbavu unaona ni tusi?!

Mbona Rais Mstaafu Ben alituita watanzania wapumbavu na malofa na hatukukuona wakati ule ukimwambia Ben kuwa inakuwaje utuite waTz kuwa ni wapumbavu na malofa?
Ben akitukana na wewe unatukana??
 
NAWAZA TU:

Kuna vitu Nimeshindwa kuelewa kuhusu Wema Sepetu hivi mtu anayeonekana mashuhuri tena mwenye wafuasi Wengi,Kwanini press conference afanyie nyumbani kwao na siyo ofisi ya Chama walau hata mkoa?

Hivi kwanini mtu mwenye wafuasi Wengi Kama Wema Sepetu Kama ambavyo wafuasi wa chadema wanavyojinadi asipewe kadi hata na Naibu katibu mkuu wa Chama wala hata kuhudhuria shuguli na kumuachia meya?

Hata mwenyekiti wa Chama mkoa ameshindwa kuhudhuria Sherehe kumkabidhi kadi msanii mwenye wafuasi milioni mbili kama wafuasi wa chadema wanavyojinasibu?

Naona kama CHADEMA wamemdhalilisha Wema Sepetu Kwa kumtuma meya Ndiyo apokee kadi
Wema Sepetu Pamoja na umaarufu wako wote unakabidhiwa kadi na Diwani wa Kata?

Nikitazama Ili Ndiyo Naona kupotea kwa wema Sepetu ktk siasa inaonesha kuwa viongozi wakuu wa chadema hakumwamini wema Ndiyo maana wamejitenga naye.

Stay tuned
Na Frey Cosseny
Kwa hiyo hapo ndio umewaza? Ama kweli CCM in vichwa maji
 
Back
Top Bottom