Recent content by Bmo

  1. B

    Upendo : Walimu wa Mbeya Mjini wamtembelea mbunge wao bungeni Dodoma

    Picha cio kweli ya muda mrefu,,wakina mama labda hao cio walimu
  2. B

    UVCCM ndiyo wakaguzi wa miradi ya maendeleo?

    Ndo wenye ilani ya chama ,,baba ikiwa watoto wana akili na hekima hata benk wanapeleka,,chama kinawamin vjana
  3. B

    Hivi Serikali ,CCM hawajawahi kusoma vitabu vya Mohamedi Saidi?

    Kusoma kitabu cio akili unaweza soma bado huna mtazamo,,serikali ipo makin ndio majamaa yana haha upinzani, sërikal ipo njia sahihi
  4. B

    Madai ya Katiba Mpya yametokomea wapi?

    Achen yenu katba mpya muda bado tunahitaj maendeleo kwa hzo hela ya mchakato zaid ya zanat kumi,,tena mpaka,mwaka 2025
  5. B

    Mnaotetea Serikali ya Rais Magufuli, twambieni wasiojulikana ni nani?

    Wasiojulikana ni hewa ndo maana yake,achen serkali ifanye kazi yake tuswe wa kulalama tu.Wengne mnajiteka wenyewe
  6. B

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Unapo zungumzia maendeleo haya chama rais ndio maana aliona ,,yeye atumikie wananchi jpm hana ubaguz wote wake
  7. B

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Ndio maana Rais anaongea hamtaki kuelewa anacho fanya,,bora aendelee kuwatoa wanao sumbua maana wa bongo tuna akili za mbuzi.Jpm pga kaz sis tunaona tz watu wa lawama
  8. B

    Rais Magufulli hawazii tena kuleta maendeleo ya Nchi ya Tanzania

    Lazma ukubali kuwa magufuri jembe wewe pga kelele tutafka,,nchi yoyote suala maendeleo lazma upte kipindi kigumu,,kipind hata england imepta ndo imepata mafanikio.Watanzania mnataka matokeo bila kumia,jpm piga kazi wenye iman tutafka
  9. B

    Ndani ya miaka mitatu zaidi ya miswada 10 imepelekwa bungeni kwa "Hati ya dharura". Serikali ina hofu gani.

    Mim nazan inafanya kwa manufaa ya wananchi,tz tuwe wazalendo kwa serikali kila kitu lazma reform iwepo kama kuna kuboresha,,serikal ipo sahihi
  10. B

    Nchi ya Ajabu: Nimewaona Wafanyabiashara wa Tanzania wamekuja Kampala kununua Bidhaa za China

    Nina iman aliye nimteua jpm,,ondoa shaka tutafika
  11. B

    Rais Magufulli hawazii tena kuleta maendeleo ya Nchi ya Tanzania

    Tatzo watu wachache kama nyinyi,,ni shda kujua magufuli anataka nini hii nchi inaitaji rais kama huyu mtanyoka .Kazi nikulalamika tuu,,weka hoja huo upepo tu
  12. B

    Tukiyaangazia haya malengo makuu manne kutoka katika ilani ya CCM ya 2015-2020 tutagundua Rais Magufuli anatekeleza alichoahidi.

    Rais anafanya mambo ya msingi muhimu ila baadhi bado awaelew hata darasan wengne wagumu kuelewa,,hata uwapatie majibu wanaferi.Jpm piga kazi tutafka na wataelewa tu.
  13. B

    Hivi unapotoka chama cha upinzani na kwenda chama tawala (CCM) uwezo wa kufikiri pia kunapungua?

    Upinzani utaendelea kuteseka kujua nia ya dhati ya rais ngumu ,mwachen afanye kaz
Back
Top Bottom