Ndio maana Rais anaongea hamtaki kuelewa anacho fanya,,bora aendelee kuwatoa wanao sumbua maana wa bongo tuna akili za mbuzi.Jpm pga kaz sis tunaona tz watu wa lawama
Lazma ukubali kuwa magufuri jembe wewe pga kelele tutafka,,nchi yoyote suala maendeleo lazma upte kipindi kigumu,,kipind hata england imepta ndo imepata mafanikio.Watanzania mnataka matokeo bila kumia,jpm piga kazi wenye iman tutafka
Tatzo watu wachache kama nyinyi,,ni shda kujua magufuli anataka nini hii nchi inaitaji rais kama huyu mtanyoka .Kazi nikulalamika tuu,,weka hoja huo upepo tu
Rais anafanya mambo ya msingi muhimu ila baadhi bado awaelew hata darasan wengne wagumu kuelewa,,hata uwapatie majibu wanaferi.Jpm piga kazi tutafka na wataelewa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.