Recent content by blueivvy

  1. B

    Sakata la Loliondo lamvuruga Kikwete

    mzee una maana ya ------? sio tusi mbona unaogopa unaandika ......
  2. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Mkuu mimi kwetu ni kwihara street karibu na duka la ushirika enzi hizo, kuna mzee mmoja anaitwa selemani mzee na zaidin mzee, au mwingine kwa marehemu musa kiombo pale makaburi ya baniani nimecheza sana ila nakumbuka kuna kijana mmoja anaitwa kurukutu aliwahi kunifanyia mchezo mbaya sasa miaka...
  3. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    I see ni kweli mkuu ofisi za forest resources management project nadhani hao kina kobello walikuwa wanakaa nyuma ya shule ya cheyo A
  4. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Namkumbuka mzee masoli alikuwa na msichana potable anaitwa mombe...duh mwingine alikuwa anaitwa farida masoli nadhani ni mtangazaji kwa sasa.....pale cheyo kwenye kota za nyuzi kulikuwa kuna kama nyumba nyingi ziko kwenye fensi ina msitu sikumbuki zilikuwa ni za shirika gani karibu na shule ya...
  5. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Mkuu umenikumbusha saaana ntalali, ntonga...vile visamaki vilikuwa vinaitwa Ngege vilikuwa vinakaushwa kwa moshi yaani soot...
  6. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Umenikumbusha mwalimu chiboni ndiye aliyenifundisha English, unaikumbuka ile sala...Our father? Jotter je? mwalimu chiboni ni marehemu, getaback nadhani alirudi kwao ni muiraq wa kule arusha....mwalimu nachenga alikuwa mnoko je unamkumbuka mwalimu balozi na msha? Mwalimu fundi alikuwa mtaalam wa...
  7. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Askofu mkuu Mario Abdallah Mgulunde alikuwa ananigusa sana hata niliposikia amefariki nilitoa machozi, alikuwa akihutubia misa ya krismas anaongea kwa saa moja na nusu.... alikuwa ni lawyer by profession ameandika vitabu vingi...RIP Dr. Mgulunde.
  8. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Pia nimekumbuka sinema za kihindi za ma staa wa bolywood...kina mitun chakrabot na amitah bachani zilikuwa zinaonyeshwa...kuna nyimbo maarufu za kihindi kama KUCH KUCH na PAPANJAI...very nostalgic indeed
  9. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    mkuu umenikumbusha sana simba mwene kulikuwa na makaburi ya saburi mzinga duh!
  10. B

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Mkuu umenikumbusha mbali sana...mwehu maarufu enzi zile alikuwa anaitwa malingumu mzee mmoja kichaa alikuwa soko kuu, mimi nilizaliwa ng'ambo mtaa maarufu unaitwa kwihara street, baba yangu alikuwa ana shamba kijiji cha usenge karibu na jumba la makumbusho(livingstone)...pale kwihara kulikuwa na...
Back
Top Bottom