MAMBO VP WAKUU!
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada.
Binafsi nina ndoto za kuishi nchi za ulaya siku za mbeleni, kwa sababu mbalimbali ninazozifikiria, hivyo nimeandika thread hii ili nipate japo dondoo za nchi mbalimbali za majuu ambazo ni rafiki kwa uhamiaji wa kudumu, hasa kwa watu...
Habari za muda huu wakuu!
Nimekuja hapa jukwaani kuna changamoto moja nahitaji msaada kutoka kwenu
Ipo hivi nina mke wangu ana mtoto wa miezi tisa, anayenyonya sasa leo kuanzia asubuhi maziwa yamekata ghafla kiasi cha kupelekea mtoto kushindwa kunyonya,
Sasa nimeleta jambo hili kwenu kwa...
Habari wakuu!
Kama tunavyojua kuwa tupo mwishoni kukamilisha hesabu za kumaliza mwaka 2024,
Kutokana na hilo naomba kufahamishwa maeneo ya starehe hasa club za usiku ambazo zimesheheni aina mbalimbali za starehe, kama vile pombe, wanawake wazuri kwa bei elekezi na muziki wa uhakika, ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.