lakin kumbka Kuwa vifo vyoteee hivo vitakuwa n uzito tofaut tofaut ,kikawaida mtu akifa kwa ukimwi ,msiba wake Huwa wa kukonyzana na km si hivo bas Ni kulia ukiwa msiban lkn ukifka kwko ,unaanzaa kuadithia mabaya ya marehem, be care bro.....mtu alye kufa kwa ajari kwnza Ni kifo Cha kushitukizwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.