namfananish Lowasa na katapila ninayoyoimani sana atakapo ingia IKULU atafukua magogo ambayo yameshindikana na ccm inaendelea kuya bakiza kusudi yaendelee kuyahifadhi kwenye makwapa yake
Sina imani na ccm tena kwani sera zake ni kama:
1. kichefuchef
2.homa ya...
vijana wa leo wanaielewa tanzania mbaya kwa mambo yafuatayo:-
1.maisha magumu yanayotukabili kwa ajili ya serikali ya chama cha mapinduzi.
2.umaskini anaosababishwa na viongozi wa chama cha mapinduzi
3.sera chafu inayo tumiwa na viongozi wetu
4. matumizi mabaya ya rasilimali za uma...
Zitto Zuberi Kabwe mwenyewe hana uzalendo kwan mnatia aibu haka ka kitu Zitto ninavyojua anajina lake mzuri tu ambalo linamfaa........Msaliti ss ww unayemwuita ni mzalendo basi na ww unaisaliti nchi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.