Wala huhitaji kutumia nguvu nyingi kiasi hicho.Angekuwa fisadi na Richmond ingekuwa yake angeshashitakiwa na chama tawala.Ukimya wao kutompeleka kwenye vyombo vya sheria na kuishia kumshitaki kwetu wananchi ni kuhadaa tu na si vinginevyo.
Kura atapigiwa na watu wenye akili timamu wanaotaka mabadiliko.
Unajuaje kama alikula hela za Richmond na mkulu na wengineo?
Mbona wezi wa escrow hawabambwi?
Kikwete na lowasa ndo wale wale. Ndo maana tunaachana nao tunamtaka magufuli