Recent content by BLS

  1. B

    Natafuta kazi yoyote ya kupata angalau 15,000/= Tsh per day

    Wewe una kiburi cha uzima. Ipo siku hili swali utalijibu mwenyewe
  2. B

    TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

    Kila kitu na malengo .Ukimuona mtu anafanya hivyo ujue ana malengo ambayo kwango utaona ni utahira
  3. B

    TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

    Tuko pamoja,Ingawa kwa mazingira ya Tanzania utachekwa sana. Nimrefikisha ya tatu mwakani naanza ya nne. HUWEZI ELEWA. ..,Kama ni mvivu wa kusoma huwezi elewa hata kidogo. Najua utauliza lengo ni lipi?
  4. B

    Madhara ya kupiga punyeto kwa wanawake

    POINTI NAMBA9 Usiombe ukawa na boss mwanamke ambaye anapiga punyeto au msagaji . Ofisini kwetu tulipata mwanamke wa aina hiyo ilikuwa balaa. Kila mara yeye ni kufoka tu, mpaka tukawa tunajiiuliza ni binadmu gani wa aina hii.Alikuwa na umri wa miaka 37 na hajaolewa na hana mtoto .
  5. B

    Wananchi wamesusa mapokezi ya Lissu. CHADEMA imefeli

    NDUGU WA MAREHEMU UPO. sijakuona tangu mjomba wako afariki
  6. B

    Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 16, Nov 2021

    Wewe ni mke MBOWE?She is phycisian.Ana shinda busy na wagonjwa tuulize tunao shinda naye kazini ndiyo tunajua ukweli.Ulitaka ashinde kwenye mitandao kama wewe ulinayesubiria kulipwa Elfu 7 hala mama yako anayetarajia kupata kansa kwa sababu laana yako atatibiwa na nani?Stupid.
  7. B

    Upotoshaji mkubwa sana unaoenezwa Mbowe amebambikiziwa kesi kwasababu ya mambo ya kisiasa

    Kwa kukusaidia tu,kipindi cha uchaguzi 2020.Chadema ilishinda zaidi ya viti 100.Wenye mamlaka na Wakurugenzi wa Halmashauri wanalojua hilo.Chadema ni tishio zaidi Kwa sasa kuliko kipindi chochote
  8. B

    Naomba kujua vigezo vya kujiunga Post Graduate Diploma ya Business

    Una higher/advanced diploma ya nini? Ulisomea Tanzania?
  9. B

    CHADEMA kamatia hapo hapo, tumechoka sasa mbwai mbwai

    Mbinu tumeshaipata kila polisi akingia ataipata .
  10. B

    CHADEMA kamatia hapo hapo, tumechoka sasa mbwai mbwai

    Acha ni kufafanulie maana akili yako ina umalaya wa kisasa huwezi kuelewa kirahisi.Ni CCM inajua na polisi wanajua wapokutanika CHADEMA wawili au zaidi kwa sasa moja ya agenda kuu ni polisi kwanza. Juzi tulikuwa na kikao mwenzetu akatoa wazo na namna ya kupambana ya Polisi ikitokea wakaja...
Back
Top Bottom