Recent content by Bloze

  1. B

    Mkopo Bank

    Habari JF Nina omba msaada wa mawazo yenu.. hivi kwa mfano ukiwa na fixed deposit akaunti kiasi cha sh.mil 100 unaweza kuifanya kama dhamana ya kukopea bank, halaf riba ndo iwe inalipa mkopo wako wote?
  2. B

    Ujenzi wa msingi

    Habari zenu jf members Naomba kuuliza...hivi kujenga msingi wa nyumba bila kuweka nguzo kwenye kona ya nyumba ni sawa? Nyumba sio ghorofa.
  3. B

    Kujenga Apartments

    Unashangaa kibamba nenda mapinga hupati kiwanja kwa hiyo hela, labda uswahilini uko
  4. B

    Kujenga Apartments

    Bora nikazijenge mapinga. Atleast naweza pata plot kwa unafuu na kubwa
  5. B

    Kujenga Apartments

    Kiwanja utaninunulia
  6. B

    Kujenga Apartments

    Sio ghorofa
  7. B

    Kujenga Apartments

    Appartments 3 za chumba, sebule choo na jiko zinaweza kutosha kwenye kiwanja cha ukubwa gani? Bila ya kusahau parking
  8. B

    Kujenga Apartments

    Kwanini?
  9. B

    Kujenga Apartments

    Habari zenu wadau.. Mimi ni mdada nakuja kwenu kuomba ushauri. Nataka kujenga appartments za kisasa ambazo zitakuwa ni sebule, chumba, choo, na jiko.. luku ya kujitegemea na maji kujitegemea. Nimepanga kujenga tatu in a compound. Sasa bajeti yangu ni kama milioni 100. Kiwanja sina bado. Je...
  10. B

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Oooh okay asante sana kwa ushauri.
  11. B

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Okay.. so hiyo ya cc 1300 fwd na cc 1500 fwd tofauti ni nini?
  12. B

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    FWD ina maanisha ni front wheel drive au ni four wheel drive??
  13. B

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Wadau habari zenu.. Mimi ni mdada sijawahi kumiliki gari, ndo nataka kununua gari yangu ya kwanza Nataka ninunue toyota IST old model. Naombeni ushauri wenu.. ipi ni njia bora kuagiza nje au ninunue showroom za hapa bongo. Na je, IST ya mwaka gani ndio bora zaidi. Na kampuni gani ni nzuri...
  14. B

    Maisha hayana formula

    Kwani hiyo gari pesa ngapi?
Back
Top Bottom