Recent content by bloggerboy

  1. B

    Airtel wanayajua mahitaji muhimu kwa binadamu kwa watu wa waliokumbwa na Maafa Hanang?

    Airtel imetoa GB 2 na Dk. 100, kwa waathirika Hanang kwa siku 3 mfululizo. Maana yake kwa mtu mmoja wametoa Tsh. 9000, idadi ya watu Ni 300,000+, hii ina maana; 300,000x 9000= 270,000,000/- Kwanini hii pesa wasingeipeleka kwa wahusika? Hii haiingii akilini kabisa!
  2. B

    CCM yateua Wagombea katika ngazi ya Mkoa na Wilaya. Baba wa Sabaya (aliyekuwa DC Hai), ateuliwa kugombea Arusha

    Chama cha Mapinduzi kimefanya Kikao cha Kawaida cha Halmashauri Kuu ya CCM ambapo pamoja na mambo mengine, Kikao hicho kilijadili hali ya Kisiasa ndani ya Chama na nje ya Chama Aidha, kimefanya uteuzi wa Mwisho wa Wagombea wa nafasi za Uongozi ndani ya Chama kwa ngazi ya Mkoa na Wilaya ili...
  3. B

    Kifurushi halotel GB4 tshs 7000 -wiki

    Tangazo OFFER Anaetaka kifurushi Cha halotel cha wiki TSHS 7000 - GB 4 ,NJOO INBOX CHAP UKIJA NJOO NA NAMBA YAKO NA PESA MFUKO WA SHATI Tuma namba hapa 0621082183 MALIPO YOTE HUMU 0711225854 TIGOPESA MALIPO KABLA YA KAZI
  4. B

    Vijana waandamana mkoani Iringa kumshukuru Kikwete kuwarudisha kazini

    Hujajibu swali, acha kuruka ruka!
  5. B

    Vijana waandamana mkoani Iringa kumshukuru Kikwete kuwarudisha kazini

    Narudia Lucas, Ukitaka nikiamini Chama Cha mapinduzi, Naomba wakuajiri kwanza wewe ,nitakiamini na nitachukua kadi kesho
  6. B

    Vijana waandamana mkoani Iringa kumshukuru Kikwete kuwarudisha kazini

    Halafu, wanarudishwa kazini kwani walikuwa wamejiriwa? Au wamerudishwa kujitolea?
  7. B

    Vijana waandamana mkoani Iringa kumshukuru Kikwete kuwarudisha kazini

    Lucas, Ukitaka nikiamini Chama Cha mapinduzi, Naomba wakuajiri kwanza wewe ,nitakiamini na nitachukua kadi kesho
Back
Top Bottom