Unavosema mtaji mkuu kumbuka ayo yote uwez tumia bila kuwa na bundle iv unajua kuna mtu hana uwezo ata wa kuuunga bundle la 500? Usichukulie rahis ivo kila kitu kina challenge yake ishu ni kujitosa tu ukiamua kufanya fanya hamnaga kazi ndogo kwenye hii dunia.
Habari,
Lengo la uzi huu ni kufahamu namna ya biashara ya youtube inavofanyika, maana tumeona kuna wimbi kubwa sana la channel za habari kwenye mtandao wa YouTube.
Binafsi sio mtaalamu ila naomba wale waliofanikiwa kupitia biashara hii ya kuuza maudhui YouTube watupe shuhuda zao, jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.