Recent content by Blizzard

  1. B

    Nimepotelewa na vyeti vyangu, Naweza kupata vingine?

    Nimepoteza cheti changu sikumbuki nilikiacha wapi nilimaliza 2010 ila results slip ninayo naweza kuitumia wakati huu nikifuatilia cheti mbadala. Na kama cheti kilipopotelea nina uhakika mtu hawezi kukipata akakitumia nina haja gani kutangaza magazetini
  2. B

    Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

    Biashara ya nafaka tena mahindi soko la Ilala boma nenda pale ukiwauliza vizur watakujuza cha kufanya. Nilitaman kuifanya hii biashara mtaji sina but nenda hapa ndugu yangu
  3. B

    Natafuta Kazi Permanent

    Elimu yangu ni bachelor of arts with Education masomo ya Kiswahili na History naishi Dar es Salaam. Nimemaliza mwaka huu DUCE natafuta kazi ya kufundisha permanent work mahali popote. Pia kazi yoyote halal nafanya sina shida ninachotafuta ni maslahi nipate chochote sichagui kazi. Contact...
  4. B

    Nachukia kuwaona wanamuziki wengi wa bongo flava wanapo perform live

    Msanii bongo akishatengeneza jina na hitsong moja au mbili anajua amemaliza kila kit. Hakuna zoezi la kuimba live wala kuujenga muziki upya ili uwe na ladha na uvutie. Fiesta ya leo naona hakuna uhusiano wa sauti na wapiga vyombo. Wasanii wenyew wanadonoadonoa tu hawaimbi vizur.... Poor fiesta...
  5. B

    Yanayojiri Fiesta kutoka viwanja vya Leaders Club, Kinondoni - Dar es Salaam

    Jux ndan ya stage... Live band wanakoroga tyu dah bongo bado sana
  6. B

    Yanayojiri Fiesta kutoka viwanja vya Leaders Club, Kinondoni - Dar es Salaam

    Vee money aangalie viatu vyake maana
Back
Top Bottom