Recent content by Blessingmore

  1. Blessingmore

    Nimetapeliwa kwenye biashara yangu ya huduma za kifedha (Uwakala)

    Nadhani aliwapatia simu waweke namba alipokuwa anawafanyia muamala wa kutuma.....Huwa wapo Faster sana Wanasave namba yao ya kawaidaa...TIGOPESA Au MPESA kwa maandishi makubwa...Then wanajibip kule wanapata namba yako ya kawaida....Anakuja tena anakwambiaa nitumiee Pesa unatuma....anakwambiaa...
  2. Blessingmore

    Faida 10 za kumshukuru Mungu

    Kabisaa Mtumishi
  3. Blessingmore

    Ukiona ndugu na watu wanamdharau Mkeo ujue wewe mwenyewe Wanakudharau

    Ujumbe ni mzuri sana...Mwenye Sikio na asikie!
  4. Blessingmore

    Chakula Cha Ubongo

    Uliyosema yote ni kweli!
  5. Blessingmore

    Hivi mnaofanya kazi Sekta za Serikali nako kuna maneno maneno na kuchongeana kama Private?

    Kabisaa mimi yamenikuta sehemu nyingi...nyumba za Ibada na hata mitaani...nilipojichunguza niliona kosa lipo kwangu.... 1.Kutokuwa na mipaka 2.Kumwamini kila mtu....hivyo naungana na wewe....kutopenda mazoea yasiyo na Tija
  6. Blessingmore

    Ahsante mume wangu kwa kuachana na mchepuko

    Alafu kama hujuii hizo status za Watsap za siku hizii unaweza kuta ameweka na unaionaa peke yako maana kuna setting siku hizi nani wakuview
  7. Blessingmore

    Mungu Amenihurumia, Tendo hili kubwa sana

    Asanteee naupenda sana huu wimbo ila nlikuwa sijui ni number ngapi....ubarikiwe
  8. Blessingmore

    Kwanini Mazoezi hayanisaidii?

    Mbona simple sana Funga kwa maombi siku 40 tu....Masaa 12 kila siku....Ukitokaa hapo Kilo zimepunguaaa
  9. Blessingmore

    Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

    Mi sipendii mwanaumee anayetumia neno Mie badala ya mimi....Na ukitaka nisikujibu message niandikie X badala ya S...na maneno kama vile Oya,Oyi,
  10. Blessingmore

    NAPENDA KUISHI MBEYA.

    Vibaruaa vipoo vingii ni wewe tuu....vyumba hadi vya elfu tano vipoo ni wewe tu kuchaguaa kama unataka cha 5000 au 30000
Back
Top Bottom