Recent content by blessedbrightness

  1. B

    Tofauti ya wazi ya waraka wa TEC na KKKT

    Kkkt unaupako zaidi ya ule mwingine. Maaskofu wamefunga wiki kabla ya kuutoa
  2. B

    Serikali kutowalipa watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki na walikosa sifa

    Wale walifanyakazi na walichangia mifuko ya jamii. Kama walifanya makosa peleka mahakamani. Ila pesa walizochangia warudishiwe. Vinginevyo itakuwa ni dhuluma. Na anayejihusisha naye Mungu atamlipa.
  3. B

    Kumuombea Magufuli ni lazima wala sio hiari kwani ni kuyatimiza maneno ya Mungu

    Tuombee katiba mpya kwanza ili tuipate. Then tuwaombee viongozi na kiongozi asiyefata katiba aambiwe ukweli
  4. B

    Kulikoni ITV na Chadema?

    Siku hizi bora tbc startv kuliko itv. Imepoteza mvuto. Startv huwa wanabalance hasa vipindi vya tuongee asubuhi.
  5. B

    Hatimaye Tanzania yapiga kura Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kutambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel

    Tunatengeneza matatizo bila sababu. Kutambua au kutoutambua inatuhusu nini? Nakama hatutaki misaada kwa nini tusiikatae tu mapema. Mpaka tuwekewe vikwazo ndiyo tuseme sizitaki mbichi hizi? Nchi za kenya wana akili kuliko sisi. Kwanza baadhi ya watanzania wanamwunga mkono trump. Kwa nini tuwaburuze.
  6. B

    Naomba niulize, hivi kuihoji Serikali na kupinga usichokubaliana nacho ni dhambi?

    Ukiona utawala unaogopa kuhojiwa basi ujue hautawali kwa haki au umejipanga kutotenda haki. Haki huinua taifa. Na ili Mungu ainue Taifa lazima aangalie kama Taifa halina manunguniko. K
  7. B

    Miaka 14 ya utawala wa Mbowe imetosha CHADEMA

    Na kipindi cha uchwara hatuwezi kumwacha mbowe. Mbowe ni jabali letu. Mungu atamlinda.
  8. B

    Kama leo hii CHADEMA wangeshika nchi sijui ingekuwa kwenye hali gani!?

    Upendo, amani na mshikamano ungekuwa wa hali juu. Watu wangekuwa na furaha mitaani
  9. B

    Tundu Lissu: Spika asilete hoja kuwa sehemu aliyopelekwa ndio inakuwa kikwazo yeye kulipiwa gharama

    Mungu wangu nakushukuru kumponya. Endelea na miujiza yako
  10. B

    Wito kwa Serikali: Kama ilivyo Mwenge, Hatuhitaji kampeni ya Uzalendo na Utaifa

    Uzalendo ni kuwaunga mkono na kukubali na kusifu kila wanachosema hao wazalendo walioko kwenye picha.
  11. B

    Mke wa Lissu ataka kuwajua waliotumwa na aliyewatuma kumuua mume wake. Wana mpango gani tena?

    Mlinzi wa Lisu ni Mungu. Tusiogope. Tuendelee kumwombea ili kusudi la Mungu kumwokoa kutoka bonde la uvuli wa mauti liweze kutimia. Mungu yuko naye na atampigania. Kuhusu waliokusudia mauaji wataendelea kuzofika kwa kadiri Lissu anavyoendelea kuimarika. Mpaka sasa waanaaibika na Mungu aliyehai...
  12. B

    Mbowe hakupaswa kusema vile, kisiasa aliteleza

    Mbowe amefanya kazi kubwa sana kukifikisha chama kilipo. Pamoja na kipindi kigumu ambacho cha kinapitia bado kimeendelea kuwa imara. Mbowe ni kiongozi imara. Mungu ampiganie. Kuna watu ambao tuliwaamini kama zito na slaa. Lakini walikoishia kila mtu anajua. Kati ya watu waliotoa mchango kwa...
  13. B

    Tumekuwa watu tunaoshabikia na kufurahia mambo ya ajabu ajabu tukiamini ni utendaji

    Watanzania tunashida sana ile kushabikia ndio kunasababisha watawala wazidi kutudharau na kutufanyia vitendo kimyume na heshima za watu. Mungu atusaidie kipindi hiki kipite haraka ili udugu na upendano wa watanzania udumishe.
Back
Top Bottom