Tumekuwa watu tunaoshabikia na kufurahia mambo ya ajabu ajabu tukiamini ni utendaji

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Nmesikitishwa sana kuwa watanzania tumekuwa watu wa ajabu tusio na ustaarabu ambao wanapokuja wanaisiasa kudhalilisha walio katika nafas flan flan tunafurahia na kushabikia sana.

Huu utamaduni sisi tunaona ndo uwajibikaj tunapoona wengine wakidhalilishwa tunadhan tupo salama. Mi nadhan katika shughuli zote tusisahau kufuata kanuni za utu bora. Hawa walio chini yetu nao ni binadamu na wanahitaj heshima.
 
Tatizo viongozi waliopo sasa wanataka sifa zaidi kuliko kufanya kazi. Mbaya zaidi walio chini wanaiga walio juu.
 
Watanzania wana ujinga mmoja wakiwa wamefulia wanataka wote mfulie, yaani kwa mfano ukisikia siku Mo Dewji na Bakhresa yamawakumba watu watafurahi balaa kama kwa Manji.
 
Nmesikitishwa sana kuwa watanzania tumekuwa watu wa ajabu tusio na ustaarabu ambao wanapokuja wanaisiasa kudhalilisha walio katika nafas flan flan tunafurahia na kushabikia sana.

Huu utamaduni sisi tunaona ndo uwajibikaj tunapoona wengine wakidhalilishwa tunadhan tupo salama. Mi nadhan katika shughuli zote tusisahau kufuata kanuni za utu bora. Hawa walio chini yetu nao ni binadamu na wanahitaj heshima.
Nimekua nikijizuia sana kucoment kt masuala ya siasa, hasa kwa kuwa ni waz sasa tnalazimishwa kumsifia mtu m1 wa upande fulan tu,, ila hili nisiliache likapita bure, kifupi tmekuwa na roho mbaya nadhan ushabiki wa namna hii umekuwa ukisukumwa na wivu, wivu wa kufuraia kumuona mtu aloktk nafasi flan pale anapodondoka.
Si kwa hili la tumbua ili la vïgogo wa serikali bali hata watu wenye utajiri wanapopata misukosuko imekuwa kasumba watu kufuraia naona weng wao wanadhan tajiri akipata shida kwao ni fursa labda watampiku, that's very foolish thinking, umaskini hauondok kwa kumshabikia aliye nacho anapopata misukusuko bali cha msing ni kupambana na hali yako.... Over
 
Watanzania tunashida sana ile kushabikia ndio kunasababisha watawala wazidi kutudharau na kutufanyia vitendo kimyume na heshima za watu. Mungu atusaidie kipindi hiki kipite haraka ili udugu na upendano wa watanzania udumishe.
 
Mkuu uko sahihi sana tu ila unajua wanaoshangilia hayo matukio ni wa watu wa aina gani? Hakuna mtu mwenye uelewa na taratibu na maadili ya utumishi au kazi atashangilia mtumishi kudhalilishwa hadharani ata kama na boss wake labda anashangilia wenzake kufanyiwa hivyo ladba ana chuki flani na mtumishi mwenzake. Wanaoshangilia 100% hawajui lolote juu haki za msingi za anaedhalilishwa. Fanya ka utafiti kidogo utajua wanaoshangilia na kushabikia yanayofanywa kwa sasa viongozi wetu eti ni utendaji.
 
"Naogopa kusema uongo"
4b706a014a69ca9a6a2fe149f6cf89ca.jpg
 
Nmesikitishwa sana kuwa watanzania tumekuwa watu wa ajabu tusio na ustaarabu ambao wanapokuja wanaisiasa kudhalilisha walio katika nafas flan flan tunafurahia na kushabikia sana.

Huu utamaduni sisi tunaona ndo uwajibikaj tunapoona wengine wakidhalilishwa tunadhan tupo salama. Mi nadhan katika shughuli zote tusisahau kufuata kanuni za utu bora. Hawa walio chini yetu nao ni binadamu na wanahitaj heshima.

Suala ni kwamba watanzania wameonewa sana na mabosi wa humu maofisini wamekomolewa sana mabosi wa humu maofisini na sasa amepatikana mtu wa kuwaumbua hawa mabosi na ni Rais John Pombe Magufuli.

Hivyo hawa mabosi wanaopodhalilishwa mbele ya kadamnasi waistarajie kamwe kupata sympathy ya walio chini yao.

Hivyo, acha Magufuli awatumbue tu, tena awatumbue kwelikweli. Ikumbukwe hawa mabosi wamekuwa wakitumbuwa wenzaoe kweilkweli. Sasa ni zamu yao kuumbliwa na kutumbuliwa kwelikweli.

Magufuli ninampinga kwa mambo kadhaa lakini kwa hili acha aendelee kuwatumbua hawa wajeuri. Hakuna wa kuwahurumia labda wake zao na waume zao waliokuwa wanafaidi ufisadi na uonevu wao.

Magufuli endelea kuwatumbua hawa kwelikweli.

Mkuu uko sahihi sana tu ila unajua wanaoshangilia hayo matukio ni wa watu wa aina gani? Hakuna mtu mwenye uelewa na taratibu na maadili ya utumishi au kazi atashangilia mtumishi kudhalilishwa hadharani ata kama na boss wake labda anashangilia wenzake kufanyiwa hivyo ladba ana chuki flani na mtumishi mwenzake. Wanaoshangilia 100% hawajui lolote juu haki za msingi za anaedhalilishwa. Fanya ka utafiti kidogo utajua wanaoshangilia na kushabikia yanayofanywa kwa sasa viongozi wetu eti ni utendaji.
 
Mkuu uko sahihi sana tu ila unajua wanaoshangilia hayo matukio ni wa watu wa aina gani? Hakuna mtu mwenye uelewa na taratibu na maadili ya utumishi au kazi atashangilia mtumishi kudhalilishwa hadharani ata kama na boss wake labda anashangilia wenzake kufanyiwa hivyo ladba ana chuki flani na mtumishi mwenzake. Wanaoshangilia 100% hawajui lolote juu haki za msingi za anaedhalilishwa. Fanya ka utafiti kidogo utajua wanaoshangilia na kushabikia yanayofanywa kwa sasa viongozi wetu eti ni utendaji.

Coffee,

Acha kutetea hawa wapumbavu kw amisingi ya haki zao za kutodhalilishwa. Hawa mabosi ndiyo wamekuwa vinara wa kufukuza wenzao makazini bila kufuata haki. Kama unadhani uongo nenda pale CMA uone jinsi kesi zilivyorundikana za watu kufukuzwa kazi kwa uonevu tena wakati mwingine kwa mambosi vilaza kama yule mkurugenzi wa Bukoba.

Mkurugenzi kama yule kumbe anastahili kujua fedha lakini umeona analeta ubosi mbele ya Rais eti yeye hajui kwani ana idara nyingi! Shenzi type. Majibu ya kipumbavu yamejaa tele huko maofisini tena Magufuli anatakiwa kuambiwa kwamba siyo Bukoba tu bali nchi nzima ni hivyohivyo iwe private sekat au serikalini.

Management ni skills na si kupata marupurupu tu. Acha watumbuliwe na namongeza Magufuli awatumbue kwelikweli.
 
Management By Walking About (MBWA)

Nazijua hizo principle zinazoitwa MBWA, kinachojalisha ni kwamba inafanya kazi au la. Cha msingi ni kwamba kilaza siyo yule mama tu wa Bukoba bali karibu mameneja wote hapo nchini Tanzania ni vilaza kama yeye.
 
Tumekuwa ni watu wa maombi kwa miungu badala ya Mungu aliyehai.Pia ni watu wa mapokeo badala ya uyakinifu.
 
_*It is not enough for us to sit and criticise our country. Pls let's try and be involved in it. Tanzania wont change or get better if the brightest of us sit back and watch while people who are unfit to serve run it into the ground. The punishment for not being involved for our Nation's affairs is that we will be ruled by fools and thieves. We have to be the generation that decide to be better and do better. In the very least, join a party, know your constituents and be a part discussion on what steps we need to take. Hold the leaders accountable for the offices they occupy.*_
 
Coffee,

Acha kutetea hawa wapumbavu kw amisingi ya haki zao za kutodhalilishwa. Hawa mabosi ndiyo wamekuwa vinara wa kufukuza wenzao makazini bila kufuata haki. Kama unadhani uongo nenda pale CMA uone jinsi kesi zilivyorundikana za watu kufukuzwa kazi kwa uonevu tena wakati mwingine kwa mambosi vilaza kama yule mkurugenzi wa Bukoba.

Mkurugenzi kama yule kumbe anastahili kujua fedha lakini umeona analeta ubosi mbele ya Rais eti yeye hajui kwani ana idara nyingi! Shenzi type. Majibu ya kipumbavu yamejaa tele huko maofisini tena Magufuli anatakiwa kuambiwa kwamba siyo Bukoba tu bali nchi nzima ni hivyohivyo iwe private sekat au serikalini.

Management ni skills na si kupata marupurupu tu. Acha watumbuliwe na namongeza Magufuli awatumbue kwelikweli.
Sawa sikupingi ila kuna taratibu za kumuwajibisha mtu wa chini yako au mteule wako lakini sio mbele ya hadhara huo niudhalilishaji mkuu sipingi ata kidogo wababaishaji kutumbuliwa no.
 
Sawa sikupingi ila kuna taratibu za kumuwajibisha mtu wa chini yako au mteule wako lakini sio mbele ya hadhara huo niudhalilishaji mkuu sipingi ata kidogo wababaishaji kutumbuliwa no.

Cofee,

Maadamu unakubaliana na point yangu kwamba hawa mabosi wanaotumbuliwa ni vinara wa kutumbua wenzao tena bila kufuata utaratibu, huna haja ya kuwaonea huruma.

Wanachfanya kwa wenzao ndicho waachofanyiwa sasa hivi na Rais. Sikumpigia kura Magufuli lakini katika hili acha awatumbue tena hadharani.

Maofisini kumejaa uhuni uliokithiri. Mimi siwahurumii hata kidogo eti kwa sababu tu sikumpigia kura Magufuli. Kama ataendelea kuwatumbua hadharani hivi hata kura yangu 2020 anaweza kuipata.

Magufuli atambue kwamba tuko watu ambao tuko nyuma yake katika hii tumbuatumbua ya hadharani.
 
ninadhani tumeoneana aibu kiasi cha kutosha, tumelindana kiasi cha kutosha na hizi kulindana lindana ni chachu za kukuza umaskini bongo, miaka hamsini si haba, ni umri wa mzee au kijana wa zamani! huu utamaduni wa mkuu wa boma kutumbua wazembe hadharani ni mgeni kwetu na unatupa shida ila dunia nzima wenzetu wameshauzoea! huu ni utamaduni bora kabisa kuwahi kutokea bongo, huwezi kuwa na mkuu wa ofisi kazi kuvaa makoti na tai tu na masifa kibao halafu hajui data za ofisi yake! ni nchi masikini tu zimejaza mabosi wa aina hii! mkuu anapaswa kutumbua mara elfu ya sasa ili kila mwenye wadhifa austahili. sio kubebana bebana tu ujomba ujomba tu nchi imebaki mkiani duniani kimaendeleo! big up sana mkuu wa boma, watumbue wazembe wa ngazi zote usiishie kwa wakurugenzi tu, wazembe wako kila idara, mawaziri mizigo kibao, wabunge wasiojua chochote kibao, makatibu wakuu mizigo kibao, tumbua wote.asieweza mbio zako kali za Usain Bolt aende kijijin kwao kulima vitunguu! nawaasa wananchi tuunge mkono juhudi hizi za mkuu wa boma kwamaana anabadilisha tamaduni mbovu kabisa tulizoshibana nazo na chachu za umaskini wetu, siku moja mjomba wangu aliniambia mwalimu niliemchukia shuleni ndio alikuwa mwalimu bora nilijiuliza kwanini nilimchukia huyo mwalimu nikajua nilikuwa mzembe kwenye kuzingatia somo lake na alikuwa akiniadhibu si kwa kunichukia bali kunisaidia! mkuu tumbua wazembe wote hapa hakuna cha kutaka sifa wala nini, watu wanakufa na njaa na magonjwa na ujinga huko vijijini hakuna hata ambulance miaka hamsini sasa sababu ya wazembe wa aina hii waliojaa kila idara! big up sana mkuu wa boma, wachache tunatosha kusupport juhudi hizi za mkuu zinazoandika historia mpya ya nchi itakayokuwa tajiri siku moja kwa juhudi hizi, si leo ndugu zangu manake wazembe bado wamejaa kila kona bongo! wabongo ni watu wavivu kwa mambo mengi, kusoma, kufanya kazi , kulipa kodi, ila wanajua sana kutega kazi, kushinda vijiweni, kupiga mizinga au vichomi, ukuwadi, kula unga, kula ganja, kula rushwa, kukwepa kodi na kula bata Coco beach na michepuko, anaebisha hapo alipokaa anyooshe kidole/vidole viwili juu mi sitamuona ila atakuwa amebisha! CCM oyee!
Masikini marry!!!
 
Nmesikitishwa sana kuwa watanzania tumekuwa watu wa ajabu tusio na ustaarabu ambao wanapokuja wanaisiasa kudhalilisha walio katika nafas flan flan tunafurahia na kushabikia sana.

Huu utamaduni sisi tunaona ndo uwajibikaj tunapoona wengine wakidhalilishwa tunadhan tupo salama. Mi nadhan katika shughuli zote tusisahau kufuata kanuni za utu bora. Hawa walio chini yetu nao ni binadamu na wanahitaj heshima.
Yap ni kweli,anachofanya mkulu,ni udhalilishaji,kama mkurugenzi,alikuwa hana data zote sio kosa,kama mkulu alitaka data hizo,angeweza kuzipata,kwa njia za kistaarabu,kwa kumpa muda mkurugenzi,azitafute,ndani ya dk 15,zingepatikana,kumtumbua mtumishi kwa kushindwa kutoa data papo kwa papo,sio busara,ni ubabe usio na tija,kwa lugha ya kitaa ni kutafuta kiki,sasa kama wewe unaweza kufukuza,kutukana,kusengenya mtumishi yeyote,sisi wananzego inatusaidia nini,hii ni kutafuta,kiki na umaarufu usio na tija,namsapoti sana mkulu kwa mengi,ila kama angekuwa na busara za,na diplomatic kama balozi Salim Ahmed Salim,au PM Khasim Majaliwa,angekuwa bonge LA Raisi,yeye sio boss wetu,sisi wananchi,ndio maboss wake,ajifunze unyenyekevu,aache cheap politics,hatumlipi mshaara,kutumbua watu hadharani,home work kwake ni ,gesi ni yetu,kwanini iuzwe 50K,kwanini isiuzwe hata 20K,kwa mtungi wa 50Kg,sukari imepanda mpaka 3000Tsh,why?,kwanini polisi wetu (Dom) waendelee kuishi kwenye nyumba za tope,zinazojengwa na wafungwa(wanoishi Dom,wanajua hili ),kuna haja gani kuwa na majimbo 365+ya uchaguzi,na wakuu wa mikoa kibao,kwanini kila waziri,mkurugenzi atumie V8,kwanini zisitumike rav 4,
 
Back
Top Bottom