Fanya yafutayo;
1. Acha kuangalia video za ngono__X
2. Acha kuangalia Sana movie za kizungu ambazo mpaka ngono ipo.
3. Acha kukaa bila kazi muda mrefu, upo Idle sana ndio sababu unakuwa na hayo mawazo.
4. Mwombe sana Mungu akutolee mbali hayo mawazo
5. Mtamani mmeo tu
6. Achana na marafiki...
Mimi ni kijana mwenye Umri wa Miaka 28 natafuta Mke, sina kazi maalum Bali ni mpambanaji. Ni mrefu wa wastani, Nina Mwili ambao ni Presentable na Watu wanapenda kuniiita Gurdiola wa Tz. Kwa sasa Nipo Dar
Mchumba awe na Vigezo vifuatazo
1. Bikira (Compulsory)
2. Miaka isiyozidi 25.
3. Awe na...
Jamani Watanzania Tunahitaji kutafakari sana,
Mimi natokea kijiji cha Mashese kata ya Ilungu na nimechangishwa kusaidia huu Mradi.
Nilisikitika sana juzi nilivyosikia kuharibiwa kwa Mradi wa Maji ambayo ndio kwanza ulikuwa umeisha na Watu walikuwa wanasubiri kuzinduliwa na kuanza kutumia maji...
Tiss. The Highest Gang in the Nation of Tanzania. The Gang is well known as "Watu Wasiojulikana".
Tunaomba Tushirikiane Kupambana na hili kundi la Watu wasiojulikana.
Ushauri:
Naomba ukiona unafuatwa fuatwa na wasiojulikana jitahidi kuwaangamiza kwa uwezo wako.
Mimi nilikuwa nampinga Lissu kwa mambo ya kupinga Kila kitu cha serikali lkn sio KUTAKA KUCHUKUA UHAI WAKE.
I HATE THOSE ORGANIZED THE ASSINATION FOR TUNDU, HOPE GOD WILL REWARD THEM ACCORDINGLY.
Nashauri nchi nzima kuwe na kampeni ya kudai Bashite aeleze aliko kuwa siku ya Lissu kupigwa Risasi.
Bashite Twambie ulikokuwa siku ya Lissu Kupigwa Risasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.